ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza is Slum mpo? ππMnapoleta udom na magufuli city zinakuwa CBD?, tulia msumari ukuchokonoe vizuri
Subiri waje kukwambia hiyo ni mbeleko ya Serikali....ukiwauliza serikali ya nchigani wanakimbia πππMwanza is Slum mpo? ππ
View: https://www.instagram.com/p/DBRFx3HqRsu/?igsh=MTZ0azNxcWlsazBudQ==View attachment 3128754
Kwa akili Yako finyu unadhani Magufuli City inakoelekea nk kuwa nini Sasa kama sio CBD?
Wew ni kajinga eti eh .Hili ni Jengo la PSSSF ..Gold Crest ni wapangaji tu pale basement parking ni shida kwa jinsi palivyobananaππ.
Swali lipo palepale nitajie hoteli yoyote Mwanza yenye ukubwa(square meters) wa eneo kama wa St Gaspar Hotel Dom yenye conference centers nyingi within one area na yenye uwezo wa kuhost magari zaidi ya 1000 parking kwa wakati mmojaπππ
Swali lipo palepale nitajie hoteli yoyote Mwanza yenye ukubwa(square meters) wa eneo kama wa St Gaspar Hotel Dom yenye conference centers nyingi within one area na yenye uwezo wa kuhost magari zaidi ya 1000 parking kwa wakati mmojaπππWew ni kajinga eti eh .
Toa upuuzi wako ..Hilo bweni lako unaloliita hotel ...limejaa vikumbi vya harusi .ππ
Si unataka parking..sisi unapata parking + good breeze + amazing green environment mambo ambyo Dodoma huwezi yapata ..ndio maana watalii wa kizungu hawapendi kulala Dodoma maana ni kubaya View attachment 3128776View attachment 3128777View attachment 3128778
Huna unalojua wew ...yaani hiyo st gasper kahotel kabaya kweli hapo kisasa ...Swali lipo palepale nitajie hoteli yoyote Mwanza yenye ukubwa(square meters) wa eneo kama wa St Gaspar Hotel D uom yenye conference centers nyingi within one area na yenye uwezo wa kuhost magari zaidi ya 1000 parking kwa wakati mmojaπππ
Nimetumia kiswahili rahisi tu ukubwa- square meters na capacity ya parking acha kuruka ruka ....nataka jibuHuna unalojua wew ...yaani hiyo st gasper kahotel kabaya kweli hapo kisasa ...
Umehitaji space na parking nimekutumia malaika resort nyota 4
Hapo sijakutumia Ryan bay hotel ,isamilo grands ,adden palace
Dom ndio Ina mtandao mkubwa wa Barabara za jiji kuliko Mwanza fishing market.Dodoma yote mpaka ikulu ya chamwino huwezi PATA mtaa smart hvi kama Beverly hills
View attachment 3128787
Leta vipimo vya square meters vya st gasper hostel πNimetumia kiswahili rahisi tu ukubwa- square meters na capacity ya parking acha kuruka ruka ....nataka jibu
Mtandao wa barabara wa mdomoniDom ndio Ina mtandao mkubwa wa Barabara za jiji kuliko Mwanza fishing market.
Mwisho usifananishe Barabara za kitaa za za Dom ambazo ni Pana na nzuri na hizo locals za huko kwenu.
ππKumuelimisha mjinga ni kazisana...hivi kuna mtu yoyote asiyejua Dom ina mtandao mpana wa barabara za lami.Dom ndio Ina mtandao mkubwa wa Barabara za jiji kuliko Mwanza fishing market.
Mwisho usifananishe Barabara za kitaa za za Dom ambazo ni Pana na nzuri na hizo locals za huko kwenu.
Kwahiyo unataka kusemaje?πππChuo Cha Mipango kipo kimoja tu Dom ....Mwanza ni branchπ€£π€£π€£π€£π€£
Nikuulize wewe certificate yako ya community development IRDP uliisomea wapi....πππKwahiyo unataka kusemaje?
Kwani st Gaspar nayo ni hotel ya kutamba nayo, kuwa na akili basi hatuko kuzungumzia kumbi za harusi hapa.Nimetumia kiswahili rahisi tu ukubwa- square meters na capacity ya parking acha kuruka ruka ....nataka jibu
Wenye mkoa wao wakifungua kinywa ni kama radio ya mbao. Hawataki kusikiliza ushauri na maono. Kuna waliojibatiza karma za wenye akili na maarifa ni aibu sana kwa Taifa letu.Aise Dodoma hapana, aise hizi nyumba zinadiwa na NHC za kule Buswelu na zimejengwa mda mrefu, View attachment 3128836
Aliyekuzuia kupost picha ni nani huna ubavu wa kumpangia mtu Nini Cha kufanya uwe na mipaka ya makasiriko lofa weweππKumuelimisha mjinga ni kazisana...hivi kuna mtu yoyote asiyejua Dom ina mtandao mpana wa barabara za lami.
Huyu jamaa na wenzake ndiomana huwa nawadharau sana wanaishia kuokoteza vipicha na kupost hawana facts zozote.
Nenda kwenye thread yako uliyojianzishia na wenzako ππAliyekuzuia kupost picha ni nani huna ubavu wa kumpangia mtu Nini Cha kufanya uwe na mipaka ya makasiriko lofa wewe
Sijasoma kozi nyepesi kama hizo we fala, usipate wenge na ukaweweseka. Kifupi Mimi na wewe ni watu wawili tofauti kabisa. Tu kwasababu hapa tunapumzikia usifikiri tunafanana. Toa utahira huo kichwani mwakoNikuulize wewe certificate yako ya community development IRDP uliisomea wapi....πππ
Kaanzishe ya kwako na wewe usinipangie boya weweNenda kwenye thread yako uliyojianzishia na wenzako ππ
Mwanza City: The Photo Gallery
a special thread for the rocky city. let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....www.google.com