Unaumwa kweli unafikiri UDSM ipo dar peke yake hata huko mbeya ipo. Kamapala ipo Uganda ila gongolamboto utaikuta. Kuna main offices na sub officesHii ipo Tanga
Hii ipo Arusha
Hii kwa sasa ipo Dar
Hii ipo Mbeya
πGwambina complex ipo Misungwi.View attachment 3130438View attachment 3130439
Gwambina stadium
View attachment 3130440View attachment 3130441
Nyamagana stadium
View attachment 3130442
Ccm KIRUMBA.
Bado sijakuletea sports centre za nyakabungo, mabatini, kiseke n.k
Nyau, leta viwanja vya mipira Dodoma haijalishi vinafanaKirumba vs Jamhuri Kuna tofauti?
Magufuli city ipo CBD mbona mnakuwa wajinga. Tunaenda na jinsi mnavyojikanyagaπGwambina complex ipo Misungwi.
Malya ipo Kwimba .
Unataka Dom walete viwanja vilivyopo mbali mfano Mtera hukoπ€£π€£
Nilikwambia ukiwa huna facts utaumbuka tu humu ona mshamba mwenzako anataja radio stations za Tanga,Arusha na Mbeya anasema ni za MwanzaππππUnaumwa kweli unafikiri UDSM ipo dar peke yake hata huko mbeya ipo. Kamapala ipo Uganda ila gongolamboto utaikuta. Kuna main offices na sub offices
Jamhuri Stadium ni bwawa sio uwanja?Nyau, leta viwanja vya mipira Dodoma haijalishi vinafana
Mnaongelea vitu vidogo vidogo sana ndo maana nawaambia hamuelewi mnabishana kama watoto.
Wewe ni boya na haujanielewa nilichomaanisha nilipokuqoute.Nilikwambia ukiwa huna facts utaumbuka tu humu ona mshamba mwenzako anataja radio stations za Tanga,Arusha na Mbeya anasema ni za Mwanzaππππ
Magufuli City ni new CBD,kwani wewe ulidhani ni kitu gani?Magufuli city ipo CBD mbona mnakuwa wajinga. Tunaenda na jinsi mnavyojikanyaga
KO confirmed nyie mnajenga sisi vipo.Jamhuri Stadium ni bwawa sio uwanja?
Another one under construction here ππ
View: https://youtu.be/BZucc1JHN34?si=_0BzvjdkhgfFJkQ0
Hii ni porojo mwaka wa 6 hakuna kinachoendelea.Mnaongelea vitu vidogo vidogo sana ndo maana nawaambia hamuelewi mnabishana kama watoto.View attachment 3130455
Bugando cardiac institute tunaclear site
Twendeni mtaelewa tu
Viko wapi? Hayo magofu?KO confirmed nyie mnajenga sisi vipo.
Ilikuwepo tangu zamani ndio Mwinyi akaja Kuzindua juzi si ndio? πππMwanza ina benki nyingi sana siwezi kuzihesabu iyo benki ya Zanzibar ilikuwepo tangu zamani sana mie kabla sijaondoka mwanza niliwahi kwenda hiyo benki IPO karibu na Belmont hotel barabara ya Kenyatta na ilikuwa 2018 sema Rais wa Zanzibar alikuwa hajaizindua hakuna kitu kitatoka Dar kiiruke mwanza eti kiende mkoa mwingine hiyo haipo π€£π€£π€£π€£
Asee wewe nenda akasome kwanza , unajua maana ya CBDMagufuli City ni new CBD,kwani wewe ulidhani ni kitu gani?
Dom TV zipo ikiwemo tv ya Jiji ,zingine kama ngasatv nk Sina hakika kama ni online au laa but ziko kibao tuu.1.passion fm
2.kiss fm
3.mazingira fm
4.living water fm
5.lake fm
6.afya fm
7.Radio free Africa
8.iqra fm
9.city fm
10.redio kwa neema fm
11.ushindi fm
12.saut fm hii ni ya chuo saut
13.metro fm
14.huruma fm
15.hhc alive fm
16.pasiasi fm
17.amani fm
18.mwongozo fm
19.wema fm
20.shalom fm
Hivyo ni baadhi katika vingi
Haya magazeti
1.mzawa
2.mwelekeo
3 la tatu mwana mwanza aje anikumbushe nimelisahau kidogo ila lipo Hilo gazeti
Television Tena kubwa ni
1.Star tv hii ina coverage nchi nzima kuliko tv yoyote ya hapo ukameni village
2.Barmeda Tv. Wana mwanza wanajua utamu wa hii kitu.
4.cables za kumwaga oooh Dodoma inatia hurumaπ€£π€£π€£π€£π€£
Simple tuu ni Central Business District.Acha ushamba wa kisukima na kukariri.Asee wewe nenda akasome kwanza , unajua maana ya CBD
Online hiyo ipo kwenye king'amuzi kipi?Dom TV zipo ikiwemo tv ya Jiji ,zingine kama ngasatv nk Sina hakika kama ni online au laa but ziko kibao tuu.
Kama ni upcoming CBD sisi tusemeje kuhusu GhanaSimple tuu ni Central Business District.Acha ushamba wa kisukima na kukariri.
Ndio nakwambia Sasa Magufuli City ni another CBD in the making na Kwa taarifa Yako tuu upon completion Kila kitu unachokiona Mjini Kwa Sasa kitakuwepo huko Mtumba tofauti ni kwamba huko kuko planned and organized na Kila activity itakuwa sehemu yake.
Najua hujui unazuzuka Kwa kudhani ni purely government city.
Mwisho another CBD in the making,Ndejengwa Investment Area ππ
View attachment 3130462
View: https://youtu.be/j4awzGBkCV8?si=fO_xcHAX38GOnHda
Huyo jamaa anachekesha sana anakwambia eti 2018 alienda kupata huduma mpaka leo ni miaka 7 ndio inazinduliwaπ€£π€£π€£Ilikuwepo tangu zamani ndio Mwinyi akaja Kuzindua juzi si ndio? πππ
An insane argument