ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mapicha kamoja unageuza geuza
Wewe ndio hujui kituHujui kitu π€£π€£π€£π€£ATCL ni shirika la ndege la serikali unalitenganisha vp na TAA eti na wewe unajiita mjanja duuuuuuuuh hili ni janga la Karneπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Stend ni Nyegezi bhana hata ukiona hujawahi fika unaelewa hapo ni mjini
Ur right hapo Nyegezi panakimbizana na Dodoma CBD.Stend ni Nyegezi bhana hata ukiona hujawahi fika unaelewa hapo ni mjiniView attachment 3141583View attachment 3141584
UhakikaUr right hapo Nyegezi panakimbizana na Dodoma CBD.
Huwezi vikuta vitu kama hivi jangwani, never
Wavitoe wapi?Huwezi vikuta vitu kama hivi jangwani, never
Huwezi vikuta vitu kama hivi jangwani, never
Dom HQ kunajengwa majengo ya maana na yenye hadhi.Wavitoe wapi?
Nje ya majengo ya serikali Dodoma kuna baki na nini?Dom HQ kunajengwa majengo ya maana na yenye hadhi.
TCU HQ ππ
View: https://youtu.be/AURFh9U6Vr8?si=oMLUXtHWPI0hOrgi
Umasikini wa kutupwaNje ya majengo ya serikali Dodoma kuna baki na nini?