Hakuna kitu hapo jomba
Mwanza mkijivunia floor 3 ,Nzega wao watajivunia nini? πππView attachment 3146899
Picha ilichukuliwa 25/3/2024 mpaka muda huu Kuna floor tatu na Bado chuma kinapanda.
Subirieni kazi ianze ndio muwena post,mradi uko kwenye makaratasi tena wa ufadhili wasipotoa pesa Je? ππππ
Sasa Kuna jengo Gani refu huko Dodoma zaidi ya 10floor kama si kile kihotel chenu?. Mwanza Kuna 16 floor building jombaMwanza mkijivunia floor 3 ,Nzega wao watajivunia nini? πππ
Anyway leta projects kama hizi ππ
View: https://youtu.be/uYKwPKJ5ci8?feature=shared
Mnajenga bwawa mwanza Kuna ziwa natural zawadi kutoka kwa mwenyezi Mungu. Nyie Kuna lift valley soon mtaanza kutafutana.Mwanza mkijivunia floor 3 ,Nzega wao watajivunia nini? πππ
Anyway leta projects kama hizi ππ
View: https://youtu.be/uYKwPKJ5ci8?feature=shared
Hizi ni dalili za Mwanza kuishiwa yaani Unafurahia makaratasi?
Vumbi la Mkalama sio poa hamna lami bora ukajenge Miganga we mtu mfupi mweusiii
Mwanza nzima hakuna mtaa kama huo achilia mbali lamiVumbi la Mkalama sio poa hamna lami bora ukajenge Miganga we mtu mfupi mweusiii