Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Nyasaka pia ni ya moto.[emoji16][emoji16] kwamba kuna utawala watu wanaenda kumyang'anya capripoint kwa nguvu!......mkuu to be honest kwa sasa moja ya sehemu tamu mwanza ni Kiseke B, na Buswelu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyasaka pia ni ya moto.[emoji16][emoji16] kwamba kuna utawala watu wanaenda kumyang'anya capripoint kwa nguvu!......mkuu to be honest kwa sasa moja ya sehemu tamu mwanza ni Kiseke B, na Buswelu
Nilisikia inajengwa tayari ila siko mza kwa sasa. Ukipata muda zungukia hukoKiongozi hii mbona ni kama imeshaanza kujengwa na sasa ni final touch ipo capripoint nyuma ya idara ya maji, nenda katembelee utaniambia.
We ni kajinga,unaweweseka na Mwanza yako Ikulu nimepost mara ngapi?Unapenda kupost ikulu na mjengo ya udom nje ya hapo hakuna sehemu nyingine ya maana?
Tunajenga wenyewe hatujengewi na Serikali 😆😆😆😆
Excuses baada ya kuonyesha slums za kwenye vimilima vyenu.Opportunity nilishakuzoea ukiona battle limekushinda unanza kutuma hii picha ambayo ni duplicated, kila sehemu dunian kuna makazi ya watu duni, lkn Mwanza ukitoa hilo eneo tuma picha nyingine tofauti na hiyo.
☝️☝️ Sisi hatujengewi na Serikali 😄😄😄😄View attachment 2084314
Serikali inaanza kuona aibu sasa
DIT Mwanza Campus, ujenzi utaanza muda wowote mwaka huu, pesa ilishatoka
Umekosa picha unapost Hadi picha za Mwanza...naona umepost Hadi kemondo round about Mwanza...Kwa hiyo wewe peke yako ndio unauona huo uchafu? [emoji16][emoji16]
Kwanza Mwanza nzima kuna hata apartments kweli?
Dom kama Dom [emoji116]
View attachment 2084190
View attachment 2084191
View attachment 2084192
View attachment 2084193
View attachment 2084194
View attachment 2084195
View attachment 2084196
Nilisikia inajengwa tayari ila siko mza kwa sasa. Ukipata muda zungukia huko
Hivi kweli we mzima wa akili?????????We ni kajinga,unaweweseka na Mwanza yako Ikulu nimepost mara ngapi?
Si bora hizo kuliko nyumba zenu za tembe katikati ya mji.Excuses baada ya kuonyesha slums za kwenye vimilima vyenu.
Huwezi Kuta uchafu kama huo Dom
Kaa utulie mbona unawenge.Tunajenga wenyewe hatujengewi na Serikali 😆😆😆😆
Tuonyeshe makazi yako ya kitajiri ya huko dodomaDodoma kumekua sana na kuanza kuizidi Mwanza yenye makazini duni huko vilimani
Ziko wapi? Dom kama Ulaya 👇Si bora hizo kuliko nyumba zenu za tembe katikati ya mji.
Dom kama US,sio mimi bali ni mashuhuda👇Hivi kweli we mzima wa akili?????????