ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mnatia huruma sana,yaani haka kaje go ndio mnaita tower? ππView attachment 3200936
New tower
Kiukweli mnatia huruma.View attachment 3200938
Zoezi la kuendelea kuondoa nyumba za chini 2026 linaendelea mitaa ya rwagasore
Kama kawaida naona umepost kaziziMnatia huruma sana,yaani haka kaje go ndio mnaita tower? ππ
Anyway Dom HQ π π
View: https://www.instagram.com/p/CrpsiJyt2QJ/?igsh=MWtiYmF4OGttMmRuMw==
Leta miradi ya maana sio kuokoteza tumajengo tulitokwama miaka na mikaka huko ππ
Dom HQ industrial revolution era ππ
View: https://youtu.be/PhNrAQ9e4SQ?si=LxgeLnK0UZNTlRhQ
Hesabu mwenyewe namba of floors harafu Kaa kimya Kwa aibu ππππ
Toa uchafu wako hapa.View attachment 3201857
Mpaka uombe maji......huku hamna cha taasisi wala bibi yake na shirika ... wenyeji wanashusha vitu
Non tasty building.old fashioned designHesabu mwenyewe namba of floors harafu Kaa kimya Kwa aibu ππππ
View: https://x.com/kibiki001/status/1881698283418202281?t=-zSFvH3DofPu2IzWnRIF8w&s=19
Barabara kama hii inajengwa maporini huku barabara za Mwanza hasa hizi highway hazitamaniki, hata pikipiki haziwezi kupishana, hii nchi ina laana kabisa.Soon kazi inakamilika ππ
View: https://x.com/Its_Fik/status/1881648749174485301?t=v-tYvS7W_28--mVEoVZuVA&s=19
Mjinga mmja akijifariji Kwa wivu ππBarabara kama hii inajengwa maporini huku barabara za Mwanza hasa hizi highway hazitamaniki, hata pikipiki haziwezi kupishana, hii nchi ina laana kabisa.