The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mnazidi kutia aibu na huo Mwalo wa WavuviNitolee takataka yako hapaView attachment 2275731View attachment 2275732
Yaani ushamba utawatoka lini nyie Wasukuma?Naona wawekezaji hawataki kabisa kuwekeza makao makuu ya nchi ...Dodoma ina safari sana kuipata Arusha na MwanzaView attachment 2275687
ππ Kunaweza kuzidi Dom kweli?Mwanza kutamu sana aseee..
#MaendeleoHayanaChama
Sasa Kuna nini cha ajabu hapo? Hapo ndio kijiji cha wavuvi kimeisha hivyo..Jibu na hili bas tukuone[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]View attachment 2275762View attachment 2275765
The skyline with incredible scenery
Dodoma mkiwa na mandhari kama haya .dunia imefika mwisho wake....View attachment 2275776
Naona unazunguka pale pale na camera yako ππππ..The skyline with incredible scenery
Dodoma mkiwa na mandhari kama haya .dunia imefika mwisho wake....View attachment 2275776
Maeneo mengine ya cityNaona unazunguka pale pale na camera yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Dom katika ubora wake [emoji116]
Dodoma ,,wanatakiwa kutulia kabisa .....hii ligi hawaiwezView attachment 2275931
Dodoma
View attachment 2275932
Mwanza
Vijumba vya serikali vibaya
Kuna nyumba moja hapo Unaweza kuta gharama yake sawa na nyumba 20 za dodoma
Yaani anatuletea picha za kotas za wafanyakazi [emoji1787]View attachment 2275931
Dodoma
View attachment 2275932
Mwanza
Vijumba vya serikali vibaya
Kuna nyumba moja hapo Unaweza kuta gharama yake sawa na nyumba 20 za dodoma
Hapa ni nela nimepita leo naona tayari zimeanza kufanya kazi.Uwekezaji wa trafick lights na uboreshaji wa miundombinu unaendelea..
View attachment 2275986View attachment 2275987
Hapo ni Nyakato ,broHapa ni nela nimepita leo naona tayari zimeanza kufanya kazi.