We jamaa ni chizi na Kwa taarifa yako hatupost picha za majengo.naona unataka kutuenjoy tu humNasema hivi Iringa ina majengo marefu na mengi kwa Idadi kuliko Mwanza,sasa unabisha au?
Hapo Mwanza hata majengo 8 ya ghorofa 8 and above hakuna.
U post uyatoe wapi wakati hakuna? 😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂We jamaa ni chizi na Kwa taarifa yako hatupost picha za majengo.naona unataka kutuenjoy tu hum
🤣🤣🤣💉💉💉💉Hapa hakuna mtu, ni chizi mwenye bundle la chuo ghorofa nane nizakuulizia Mwanza? 😀 😀 😀 😀 😀
Kwanza tumuulize amefika lini Mwanza?
Nasema hivi Iringa imeizidi Mwanza Kwa skyline Wala hakuna ubishi..Unaumwa wewe sio bure wacha kufananisha mwanza na upumbavu hakuna kama mwanza baada ya Dar.
Tufanye Iringa imeizidi Mwanza 😀 😀 😀Nasema hivi Iringa imeizidi Mwanza Kwa skyline Wala hakuna ubishi..
Hayo mengine ni mapovu ya maumivu tuu 😬😬
Yeah kwa tall buildings imepiga kwenye mshono 💪💪Tufanye Iringa imeizidi Mwanza 😀 😀 😀
Tunaproject ya billion 700 inaendelea, tubabaike na proect ya billion 500 kwa lipi yaani? Ndio maana tunakwambia unanuka ushamba na ulimbukeni juuMwiba mkali sana kwa Mwanza huu mkiona lazima mjambe ushuzi wa michembe 🤣🤣
Dom the Capital City 👇
Project zile zile tu hamna kipyaMwiba mkali sana kwa Mwanza huu mkiona lazima mjambe ushuzi wa michembe [emoji1787][emoji1787]
Dom the Capital City [emoji116]
Hata kama ni zile zile ukweli ni kwamba hizo zikikamilika zitakuwa game changer..Project zile zile tu hamna kipya
Bil.700 zinaishia kwenye kadaraja,wananufaika Wachina..Tunaproject ya billion 700 inaendelea, tubabaike na proect ya billion 500 kwa lipi yaani? Ndio maana tunakwambia unanuka ushamba na ulimbukeni juu
Daraja linajengwa Ghuangzhou?Bil.700 zinaishia kwenye kadaraja,wananufaika Wachina..
Project ya Bil.500 inatandaza barabara njia 4 km 120,vituo vya Afya 4,kupanda miti,miradi ya maji 4 nk
Wapi watanufaika zaidi? Ipi itakuza uchumi zaidi Kati barabara na daraja 1?
Ni tembo mweupe asiye na maana,Wala halitapunguza umaskini wa Mwanza na hapo Sengerema Makao Makuu ya umaskini.Daraja linajengwa Ghuangzhou?
BNi tembo mweupe asiye na maana,Wala halitapunguza umaskini wa Mwanza na hapo Sengerema Makao Makuu ya umaskini.
We jamaa mshamba ...daraja la kigongo linaboresha east Africa transport corridor..inaunganisha route ya kutoka Kenya , kwenda Uganda ,Burundi na Rwanda ....Ni tembo mweupe asiye na maana,Wala halitapunguza umaskini wa Mwanza na hapo Sengerema Makao Makuu ya umaskini.
Kule sahv watu wanawekeza sana balaa barabara ya kigongo usagara watu wanajenga mnoo ikiwemo masheli na mashule pamoja na viwandaWe jamaa mshamba ...daraja la kigongo linaboresha east Africa transport corridor..inaunganisha route ya kutoka Kenya , kwenda Uganda ,Burundi na Rwanda ....
Hii ni route muhimu sana hasa muda huu mwanza inapoelekea kuwa great lakes hub .. biashara zote za maziwa makuu zinaanzia mwanza