intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 705
- 1,123
Barabara za four way kutoka mwanza mjini had usagara km 25 barabara ya 4 way kutoka mwanza mjini had nyanguge km 36 barabara ya kutoka airport,kayenze had nyanguge km 46 ujenzi wa soko la kirumba,ujenzi wa buzuruga commercial complex,ujenzi wa soko au mwalo mkubwa wa samaki mkuyun,Hata kama ni zile zile ukweli ni kwamba hizo zikikamilika zitakuwa game changer..
Project mpya za Mwanza ziko wapi?
Kwenye mrad wa sgr kutajengwa flyover ya km 2 kutoka mkuyun had mjin katBarabara za four way kutoka mwanza mjini had usagara km 25 barabara ya 4 way kutoka mwanza mjini had nyanguge km 36 barabara ya kutoka airport,kayenze had nyanguge km 46 ujenzi wa soko la kirumba,ujenzi wa buzuruga commercial complex,ujenzi wa soko au mwalo mkubwa wa samaki mkuyun,
Nionyeshe hata tender moja iliyotangazwa kwenye hizo barabara ππππBarabara za four way kutoka mwanza mjini had usagara km 25 barabara ya 4 way kutoka mwanza mjini had nyanguge km 36 barabara ya kutoka airport,kayenze had nyanguge km 46 ujenzi wa soko la kirumba,ujenzi wa buzuruga commercial complex,ujenzi wa soko au mwalo mkubwa wa samaki mkuyun,
Siku dodoma wakina na CBD yenye skyscraper kama. Hapa nitag .Nasema hivi Iringa imeizidi Mwanza Kwa skyline Wala hakuna ubishi..
Hayo mengine ni mapovu ya maumivu tuu [emoji51][emoji51]
Hii ni just 20 percent ya CBD ya mwanza...sijapost Manhattan ya rock city. [emoji91][emoji12]Siku dodoma wakina na CBD yenye skyscraper kama. Hapa nitag .
[emoji28][emoji28] Vijengo vyenu vya kuoteleza pale medeli ,Tena vyote ni vya serikaliView attachment 2350497
Hii ya uwanja wa ndege tusifanye hoja sana. Pengine makosa yalifayika huko nyuma. Lakini sasa Airport kubwa inajengwa Msalato. Ambayo ni nje ya mji.mkuu kisongo iko nje ya mji kabisa pia uwanja wa ndege wa moshi pale town nazani zinatua ndege ndogo sana ndege kubwa zinatua KIA
Kuna nini cha maana hapo au hivyo vijengo 3 ndio vinakuzuzua?..π€£π€£Siku dodoma wakina na CBD yenye skyscraper kama. Hapa nitag .
[emoji28][emoji28] Vijengo vyenu vya kuoteleza pale medeli ,Tena vyote ni vya serikaliView attachment 2350497
Naona jamaa yuko peke ake kila uzi hana supportersπ€£π€£Huyu kila anapokwenda tunaruka naye, tunapiga kichwa kama tunauwa nyoka mpaka atuletee na 5 star Hotel ya DODOMA π π π π
Hizi sio NHC ,psssf,watumishi housing, Samia scheme,au nssfKuna nini cha maana hapo au hivyo vijengo 3 ndio vinakuzuzua?..[emoji1787][emoji1787]
Na sisi tunamjibu tu ili asionake mpweke ...but ni kama tunajifurahisha kudance na asiyeelewa[emoji28]Naona jamaa yuko peke ake kila uzi hana supporters[emoji1787][emoji1787]
Wewe jamaa hauijui Mwanza( rock city) zaidi ya kuisikia kwenye Radio tena RFA,hizi picha ni mtaa mmoja tu wa elemela ambao hakuna vinyumba vya NHc hata kama moja ka vyumba viwili na sebure ila ni maekaru ya wanaume kwangu huu mtaa ninaupa nafasi ya pili kwa makazi bora Mwanza baada ya capri point japo huko umbali wa 10 km from city centre.Kuna nini cha maana hapo au hivyo vijengo 3 ndio vinakuzuzua?..π€£π€£
Hutu tupicha 3 twa kutafutiza mitaani Ndio tunakuzuzua au? ππWewe jamaa hauijui Mwanza( rock city) zaidi ya kuisikia kwenye Radio tena RFA,hizi picha ni mtaa mmoja tu wa elemela ambao hakuna vinyumba vya NHc hata kama moja ka vyumba viwili na sebure ila ni maekaru ya wanaume kwangu huu mtaa ninaupa nafasi ya pili kwa makazi bora Mwanza baada ya capri point japo huko umbali wa 10 km from city centre.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kaleta picture za arusha.kwwny Uzi wa dodoma..sasa hayo mashamba unamletea nanHutu tupicha 3 twa kutafutiza mitaani Ndio tunakuzuzua au? [emoji16][emoji16]
Unaweza pata mandhari kama Haya hapo Mwanza ? [emoji116]
Vyovyote ilivyo ila huwezi pata apartments zilizo kwenye mitaa iliyopangika vizuri kama hizo,Mwanza hakuna ni kutafutiza vimajengo mitaani kama Mbeya tuu..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kaleta picture za arusha.kwwny Uzi wa dodoma..sasa hayo mashamba unamletea nan
Wewe jamaa utakuwa na mtindio wa ubongo sio bure,wenzako wameleta projects za watu binafsi na wamekwambia uwaletee za dodoma za watu binafsi na sio serikali au mashirika tanzu we waleta za NHC sijui na TBA Sasa huo ni uzuzu wa kiwango ganiVyovyote ilivyo ila huwezi pata apartments zilizo kwenye mitaa iliyopangika vizuri kama hizo,Mwanza hakuna ni kutafutiza vimajengo mitaani kama Mbeya tuu..
Mwisho hakuna cha Arusha Wala Mwanza inaweza sogeza pua kwa Dodoma..
Hii ndio Dom bwana π
Hadi analeta vya Zambia ..yaan hivyo vijumba unamletea nani humu ...unawaaibisha watu wa dodoma...Vyovyote ilivyo ila huwezi pata apartments zilizo kwenye mitaa iliyopangika vizuri kama hizo,Mwanza hakuna ni kutafutiza vimajengo mitaani kama Mbeya tuu..
Mwisho hakuna cha Arusha Wala Mwanza inaweza sogeza pua kwa Dodoma..
Hii ndio Dom bwana [emoji116]
Excuses as usual ππππ.Wewe jamaa utakuwa na mtindio wa ubongo sio bure,wenzako wameleta projects za watu binafsi na wamekwambia uwaletee za dodoma za watu binafsi na sio serikali au mashirika tanzu we waleta za NHC sijui na TBA Sasa huo ni uzuzu wa kiwango gani
are u mad??
Za watu binafsi azitoe wapi [emoji28][emoji28] ..Wewe jamaa utakuwa na mtindio wa ubongo sio bure,wenzako wameleta projects za watu binafsi na wamekwambia uwaletee za dodoma za watu binafsi na sio serikali au mashirika tanzu we waleta za NHC sijui na TBA Sasa huo ni uzuzu wa kiwango gani
are u mad??