The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mbeya tuu imewanyea mdomoni kwenye Vyuo na hospital,Dodoma mtaieweza kweli?Akileta private Hsp Dodoma niite Mbwa
Sihitaji kuleta picha,kuna hospital zaidi ya 30 hapa..Private hospitals
Dodoma nileteeni private hospital ili ninye kahama mpaka Tanga
[emoji116]
Agha Khan hospital View attachment 2351735View attachment 2351737
Sio uhitaji ...hIzo dispensary ukizileta humu si utachekesha ..Sihitaji kuleta picha,kuna hospital zaidi ya 30 hapa..
Nenda kajitawaze [emoji116]
Sasa ukisema na sisi tugoogle hvyo si utakimbia [emoji28][emoji28][emoji28]Sihitaji kuleta picha,kuna hospital zaidi ya 30 hapa..
Nenda kajitawaze [emoji116]
Wakati unaleta excuses unatakiwa kujua kwamba Dom is on π₯π₯π₯.Sasa ukisema na sisi tugoogle hvyo si utakimbia [emoji28][emoji28][emoji28]
Excuses as usual πππππSio uhitaji ...hIzo dispensary ukizileta humu si utachekesha ..
Kwa taarifa yako nimesoma dodoma chuo miaka mitatu ,,... hapo ..
Hizo sijui st gema ,IRDP, sijui nni ni uchafu huwezi kupost humu ...
Hospital nzuri dodoma ni mbili tu. Tena za serikali Benjamin mkapa na uhuru Ile ya magufuli [emoji28][emoji28]
[emoji1][emoji1] nyie jamaaa mnateseka bureSio mara moja au mbili kule Mwanza nimeona wamama watu wazima wakivua nguo na kunya ziwani
Acha kuvuta bangi ya kukaushwa na mavi ya ng'ombe,yaani Tuchimbe Ziwa Dodoma au? Kuwa ziwani ndio kunaondoa slums huko kwenu?[emoji1][emoji1] nyie jamaaa mnateseka bure
Nitajie hata mtaa mmoja ambao upo ziwani ukiupata nafuta account yangu ya JF
Tuma na pichaaMbeya tuu imewanyea mdomoni kwenye Vyuo na hospital,Dodoma mtaieweza kweli?
Soma hiyoo π
Hivo vijumba wala havitakiwi Mwanza tunahitaji Makasri kwa sababu wakazi wengi wa Mwanza wenye vipato vya chini wanaweza jenga ivo vijumbaMwanza mtapasuka msamba kujitutumua mbele ya the Might Capitol City Dom π
Watu wa Dodoma wamechanganyikiwa sana hata wafanyaje hawaigusi mwanza ili jiji linakuwa kutokana na geographical position halihitaj kufosiwa kama DomJamani St Gema Hsp anayoisema ndio hii ipo kama primary school
View attachment 2353491
We jamaa, ulimbukeni utaacha lini??? Karne hii unshangaa quarters! π π π π πThe Capital City π
Kota hizi ndio zinawatoa udenda..Majiji yote ya Kisasa Duniani lazima yawe na Kota,kama hakuna ujue hilo sio Jiji ni Kijiji kikubwa ππWe jamaa, ulimbukeni utaacha lini??? Karne hii unshangaa quarters! π π π π π View attachment 2353668
Tembea uone, wacha kujifungia Njombe.Kota hizi ndio zinawatoa udenda..Majiji yote ya Kisasa Duniani lazima yawe na Kota,kama hakuna ujue hilo sio Jiji ni Kijiji kikubwa ππ