Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Ukifika hayo maeneo vilipojengwa Hadi unaionea huruma serikali kama itapata wanunuzi ..ni kubaya af kumekauka balaa na ni mbali na mji ..yaani picha zinapendezesha sana ,fika live uzimie....Moja ya miradi iliyokaa kihasara labda wawauzie wastaafu lakin mtu mwenye hela hawezi nunua kotas kama hizo