Na hii ndio CBD yao sasa, kila siku kuna popoma humu nikutuma screen shot za majengo ya serikali kwente miji ya kiserikali kama mtumba n.k ukimwambia leta picha za mjini kati yaani cbd huwa anapiga chengaπππInatia SIMANZI sana.
Mbeya Jiji mchoko.
Dah! Leo umeikumbuka Mwanza kwenye ujenzi...Nina akili kuliko ukoo wenu wote mliobeba maboga mnayoita vichwa..[emoji2][emoji2]
Back kwenye point,Dodoma bado haija mature enough kwa ajili ya kuwa na hiyo arena,uwanja uanze kujengwa baada ya Afcon ya 2027..hope by that time Dodoma itakuwa imefikia maturity period na zile Til.10 zitakuwa zinaelekea mwisho..
Ni busara ya kawaida kwamba ni bora kutumia bil.250 kujenga Viwanja 3 vya kawaida kama Benjamin Mkapa kwa Miji ya Mwanza,Arusha na Mbeya vyenye capacity ya seaters 40,000-60,000..
Huyo popoma kuna muda huwa ana akili timamu.
Hata arusha na mbeya bado hazistahili kuwa na arena hzo mwanza ndo inastahili na imezungukwa na miji mikubwa yenye populationHuyo popoma kuna muda huwa ana akili timamu.
Soma hapa π[emoji16][emoji16][emoji16]jamaa wew ni mshamba . Arena na stadium ni kitu kimoja ,,,,arena is more American na stadium is more British
Sports complex ni eneo lolote linajumuisha michezo mbalimbali..
Soma hapa π[emoji16][emoji16][emoji16]jamaa wew ni mshamba . Arena na stadium ni kitu kimoja ,,,,arena is more American na stadium is more British
Sports complex ni eneo lolote linajumuisha michezo mbalimbali..
[emoji16][emoji16][emoji16]jidanganye ...mfalme wa moroco kashacancel ofa baada ya magu kupita zake .[emoji14][emoji14]Dom kutajengwa Sports complex/arena kitu cha maana kama hii complex hapa ya Senegal iliyogharibu zaidi ya Bil.500 sio takataka kama hiyo ya Mkapa hapo Dar [emoji116]
Acha ubishi usio na maana basi,juzi Bungeni Serikali ndio imesema wanaendelea na mchakato wa maandalizi ya ujenzi na wamekamikisha michoro na BoQ ndio ikaja hiyo gharama ya Bil.420..[emoji16][emoji16][emoji16]jidanganye ...mfalme wa moroco kashacancel ofa baada ya magu kupita zake .[emoji14][emoji14]
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Dom hakupoi [emoji116]
Dom itaendelea kukupa dozi hadi upone Kansa π[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Wewe na huyo vice wako wote mna dezi dume kwenye bongo zenu, swali fikirishi hizo saratani kwanini zinawapata wanawake 89% na si wanaume ata ukiangalia prevalence na mortality rate kwahiyo hayo maji ya ziwa yanatumiwa na wakina mama tu?Dom itaendelea kukupa dozi hadi upone Kansa π
Utafiti wao ni professional rubbish ....samaki mwanza zinaliwa zikiwa fresh sio za kutunzwa zisiharibike ..zinazotunzwa zisiharibike ni zile zinasafirishwa kwenda nje ya mkoa na nchiWewe na huyo vice wako wote mna dezi dume kwenye bongo zenu, swali fikirishi hizo saratani kwanini zinawapata wanawake 89% na si wanaume ata ukiangalia prevalence na mortality rate kwahiyo hayo maji ya ziwa yanatumiwa na wakina mama tu?
Wazungu wa ulaya wanakula miaka yote samaki kutoka ziwa victoria hususani mwanza kwanini hawakuona hayo leo mmatumbi kutoka huko kigoma ujiji analeta tafiti za kifala et maji ya maiti yanatumika kutunzia samaki pia yanapelekea cancer, na huyu ndio kiongozi wetu wa nchi rubbish kabisa.Utafiti wao ni professional rubbish ....samaki mwanza zinaliwa zikiwa fresh sio za kutunzwa zisiharibike ..zinazotunzwa zisiharibike ni zile zinasafirishwa kwenda nje ya mkoa na nchi
Dom Airport πDodoma mmekuwa wa pili kutoka mwisho Katika mikoa masikini Tanzania ππ
Dom haiwezi kuishiwa kitu kila siku ni mpya..Nyie watu wa Dodoma mmeishiwa na mambo yenu ya mji wa nyumbaπππ
[emoji16][emoji14][emoji14] ..dodoma .hapo kisasa within km 10 Toka mjini Kuna mapengo na vichaka vingi hvyo ..na hyo mitaa ya matajiri [emoji14][emoji14][emoji16] ..si bora mitaa ya milimani .ipuli mwanza ,,,[emoji116][emoji116]..nyumba quality na mlimani ....Dom haiwezi kuishiwa kitu kila siku ni mpya..
Siku Mwanza ikifika hapa mnitag [emoji116]