Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hayo maneno tu ukweli unaujua..
washukuruni Nyerere na Magufuli wa kanda pendwa kuwpigania.
Siku Magufuli anaitangaza kuw jijikwa nguvu(bila vigezo) kila mtu alimshangaa kijiji kinawezaje kuwa jiji.
Wagogo mnasitahili kubebwa tu hamna mnaloweza.
Dodoma ni Kijiji? Hivi mmefika kweli Dodoma?
 
Unahisi tukiachana na CBD tukahesabu jengo moja moja la ghorofa mpaka lingine kwa mji mzima mwanza inatoboa kwa Dom?

Vipi ushaitembelea chinangali, CBE, Majengo,mazengo,nyerere square, sabasaba, developed cities area n.k huko kote majengo marefu yanazidi inuka tu ndugu yangu kitu pekee mwanza inaizidi Dom kwa sasa ni ile density/kusongamana kwa maghorofa katika eneo finyu la CBD yao ukilinganisha na Dom.

Dodoma CBD imetanuka nje ya kariakoo yao ndogo inayoitenganisha na CBD nakuleta mwonekano wa kisasa na majengo mazuri yaliyoachiana uwazi wa kupumua ukilinganisha na Zoo na siku nyumba za bati au kawaida zikishaondoka zote kupisha ghorofa CBD ya Zoo ikatafute ligi yake kwenye suala la CBD.
Oyaaaaa! Chinangali park hii hii ndio kitu cha ajabu yenye swimming pool mbili? 😝
Majengo pachafu hapa pananuka hivi navyoandika muda huu niko hapa JF haina live location tu

Umetaja maeneo ya kipumbavu sana
 
Mkiambiwa msafiri hamtaki kutwa mko humu kujifanya wapingaji, sasa kwa akili yako unadhani nchi hii kuna gardens nzuri za mjini kama chinangali na nyerere square?

Hivi umeshawahi safiri na baadhi ya mabasi haya; Kimbinyiko, Shabiby, ABC n.k hivi unadhani usipoenda Dom mshikaji wangu hizi luxury utazijulia wapi?
Nyerere square uchafu uchafu tu hamna mtu mwenye akili timamu anaenda pale.
Chinangali si garden ya watoto pale sawa na don bosco tu
 
Hayo maneno tu ukweli unaujua..
washukuruni Nyerere na Magufuli wa kanda pendwa kuwpigania.
Siku Magufuli anaitangaza kuw jijikwa nguvu(bila vigezo) kila mtu alimshangaa kijiji kinawezaje kuwa jiji.
Wagogo mnasitahili kubebwa tu hamna mnaloweza.
Unadhani kwa nini hawakupigania Mwanza wakapigania Dom? 😆😆..

Excuses as usual.Narudia tena hicho kijiji cha Wavuvi cha Mwanza kikashindane na Arusha na Mbeya,Dom sio level zake na huu ndio ukweli mchungu.
 
Dodoma ni Kijiji? Hivi mmefika kweli Dodoma?
Mtu amekaa zake mwandiga au mwendakulima ndani ndani huko akishakunywa uji wa magimbi anaingia JF na kutype neno Dodoma ni kijiji then nafsi yake inapoa, Watu kama hawa sina hakika hata kama huwa wanasafiri kutoka machakani huko kuja mijini kusafisha macho nakuondoa fikra zakishamba.
 
Oyaaaaa! Chinangali park hii hii ndio kitu cha ajabu yenye swimming pool mbili? [emoji13]
Majengo pachafu hapa pananuka hivi navyoandika muda huu niko hapa JF haina live location tu

Umetaja maeneo ya kipumbavu sana
Unajinasibu kuwa uko Chinangali park, kama ni pabaya kwanini usikae barabarani? Kisha naomba unitajie mkoa uliotoka kuna park gani ya kulinganisha na hiyo yenye mpaka swimming, viwanja, gardens na facilities zingine..unapoponda hakikisha unaleta na evidence ya park nyingine bora zaidi ya chinangali toka huko ulikotoka wewe tofauti na hapo kaa utulie uenjoy mandhari na umshukuru Mungu kwa kufika Dodoma the most modern city in Tz.
 
Nyerere square uchafu uchafu tu hamna mtu mwenye akili timamu anaenda pale.
Chinangali si garden ya watoto pale sawa na don bosco tu
Usijiliwaze mzee hiyo chinangali na Nyerere ulizozitaja narudia kukwambia hazina mpinzani nchi hii
 
Huu uzi umevamiwa na wahuni..hasa huyu jamaa ambaye alizalishwa na kutelekezwa..

All in all mwanza is the best place to be ukiondoa dsm.

Mwanza my second home.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiacha mdomo mchafu na maneno ya shombo, tumia muda huo kututajia supermarket mbili tu mlizonazo hapo kwenye kijiji kikubwa cha mwanza uwakomboe wenzio ambao wametokomea mitini, maana hata wao wanashangaa ulivyorudi kusifia uchafu
 
Unaongea mafyongo hapa huku umekwepa hoja ya kuleta walahu list ya majengo 5 above 10 flows toka Mwanza
Utakuwa umetoka usingiz nimemeshakutumia zaidi ya 15 kama unataka mengine sema niongeze pamoja na mapicha kama unataka ligi tuendelee.
 
Ukiacha mdomo mchafu na maneno ya shombo, tumia muda huo kututajia supermarket mbili tu mlizonazo hapo kwenye kijiji kikubwa cha mwanza uwakomboe wenzio ambao wametokomea mitini, maana hata wao wanashangaa ulivyorudi kusifia uchafu
Ebu tuma supermarket moja iliyopo Dodoma nami nikutumi zaid ya mia moja.
 
Yani toka asubuhi unapost tu hii picha na ile yenye jengo la vioo, na udom, na Kota 1000, yani Dom nzima hakuna vitu tofauti na hivi?
Hizo kota 1000 zipo kwenye makaratasi si kwenye ardhi kiongozi achana na hayo masnitch wa jiji la Mwanza, Dodoma ya kwenye makaratasi ni tofauti na ninayoiona, ata Mwanza tukileta render zetu si tutashindanishwa na Jo'berg.
 
Oyaaaaa! Chinangali park hii hii ndio kitu cha ajabu yenye swimming pool mbili? 😝
Majengo pachafu hapa pananuka hivi navyoandika muda huu niko hapa JF haina live location tu

Umetaja maeneo ya kipumbavu sana
Hawana exposure hao achana nao.
 
Hizo kota 1000 zipo kwenye makaratasi si kwenye ardhi kiongozi achana na hayo masnitch wa jiji la Mwanza, Dodoma ya kwenye makaratasi ni tofauti na ninayoiona, ata Mwanza tukileta render zetu si tutashindanishwa na Jo'berg.
Unauhakika zipo kwenye makaratasi ndugu kitombile..
 
Back
Top Bottom