Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Kuna kitu hakina ubishi Dodoma ni mji unakuwa haraka kuliko miji mingine na hii sio suala la Mwanza zaidi ya Dodoma au Dodoma zaidi ya Mwanza hapana ila kitu kimoja hakina ubishi katika kukuwa haraka Dodoma kunakuwa haraka hii ina maana soon wataipiku Mwanza leo hii Dodoma iliyokuwa na watu Million sijui wamezidiwa kama laki 4 tu hivi na Mwanza number zao hazibadiliki, pia kuna miradi mingi mipya Dodoma kuliko Mwanza miaka 3 kutoka sasa tutakuja kukumbushana hapa. Wasukuma wengi siku hizi wako Dodoma hii dalili ya fursa zipo. Swali la kujiuliza miaka 5 nyuma Mwanza ilikuwa wapi na Dodoma ilikuwa wapi na leo ziko wapi? kasi % utakayopata ndio mwelekeo wa mbele soon.
Hadi 2025 mwanza ishapotea kwenye map ..watasumbua population tu
Yani mwanza inaizidi Arusha population sio maendeleo
 
Mwanza daraja la bilioni 700 wakandarasi wako asilimia 55 ..SGR viaduct na bandari kavu wakandarasi wako kazini .. airport terminal wakandarasi wako kazini ... central market,meli kubwa ziwa Victoria wakandarasi wako kazini ...Aya wew unasema nini .kipya

Sent using Jamii Forums mobile app
Daraja ni barabara tu hata lingekua na bei gani...sa mnajenga daraja ya b700 alafu uko sengerema barabara nyingi ni vumbi[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ulishawahi kufika dodoma?katika majengo yaliyipo pale nyumba za nhc hazifiki hata 5%
Nimefika kuanzia Nala, mnada Mpya , nkuhungu,four ways ,bahi road ,njoo area A ,unapita Arusha road kuanzia airport,area C ,Kwa mudi ,maili mbili ,mnada wa zamani ,mwisho wa lami , mipango,msalato ,.njoo jamatini unashika barabara ya dar ,bungeni,unapita CBE ,emaus 1 ,emaus 2 ,kisasa sheli,njia panda ilazo ,nzuguni nanenane ,Hadi ihumwa ...njoo iringa road anzia hazina,njoo uzunguni,Kikuyu ,mkonze ...
Njoo njia ya udom ,,pitia jakaya kikwete road ,kupitia medeli ,makulu,Hadi udom ..mpaka hapa mji wa dodoma unakuwa umeumaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ndio mmesanuka sahv? Ilifaa mpime mji wote ndio muanze kujenga Mwanza ingekua ya kibabe sana...Dodoma pazuri sababu kuna plans
Dodoma Kuna plan Gani . squatter zimejaa changombe,maili mbili uswazi wa kufa mtu ,njoo uone mkonze panavyojengwa disoraganized ,,..plan Gani zipo dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takwimu zinaongea sio maneno.Mwanza ndo mkoa unaongoza kwa majengo yanayojengwa(majengo mpya) na hakuna uchafu wa NHc.Sasa sijui Dodoma pamoja na NHC (vijumba vya msaada)mko nafasi yangapi??.
Nhc wanajenga nyumba z msaada tangu lini?sema inakuuma kwann haizijengwi Mwanza[emoji23]
 
Hadi 2025 mwanza ishapotea kwenye map ..watasumbua population tu
Yani mwanza inaizidi Arusha population sio maendeleo
Shida yenu mmekalia majungu wala hamfatili takwimu.Ukisikia Mwanza ndo Jiji au mkoa kuchukua nafasi ya pili kwa wingi wa majengo na Mkoa au jiji linaloongoza kwa majengo mapya na yanayojengwa(yaani na Dar imepigwa bao) na ukuaji wake (growth rate)umebaki costant baadaya kukatwa kutoa Geita na Simiyu ambayo nayo ni mikoa yenye high population.Katika takwimu hii maana yake ni kwamba mkoa wa Mwanza ni mkoa pendwa kwa kuishi na kufanya biashara.Na watu wanafanya makazi ya kudumu ndo maana wanajenga kwa kasi wala watu hawalazimishwi kwa kujengewa na NHC kuwalazimisha waishi.Kwa hali ya kawaida mtu mwenye uelewa wa takwimu anatakiwa kuheshimu sana huu mkoa na kuelewa future ya hili jiji ni nzuri sana.
 
Shida yenu mmekalia majungu wala hamfatili takwimu.Ukisikia Mwanza ndo Jiji au mkoa kuchukua nafasi ya pili kwa wingi wa majengo na Mkoa au jiji linaloongoza kwa majengo mapya na yanayojengwa(yaani na Dar imepigwa bao) na ukuaji wake (growth rate)umebaki costant baadaya kukatwa kutoa Geita na Simiyu ambayo nayo ni mikoa yenye high population.Katika takwimu hii maana yake ni kwamba mkoa wa Mwanza ni mkoa pendwa kwa kuishi na kufanya biashara.Na watu wanafanya makazi ya kudumu ndo maana wanajenga kwa kasi wala watu hawalazimishwi kwa kujengewa na NHC kuwalazimisha waishi.Kwa hali ya kawaida mtu mwenye uelewa wa takwimu anatakiwa kuheshimu sana huu mkoa na kuelewa future ya hili jiji ni nzuri sana.
Uzuri wa mji ni miundombinu na planning sio wingi wa uswazi kijana
 
Iyo stat uliotuma mwanza ina nyumba 800K dodoma 700K huoni sio sawa?ilifaa mwanza iwe twice ama thrice dodoma
Mbona husemi dar yenye 900 k ....
Unapozungumzia statistics..... angalia density..dodoma Ina km kubwa za mraba Mara mbili ya mwanza Mara Tano ya dar .....
Ukichukua 600k ukagawa Kwa km za mraba za dodoma utagundua how dispersed nyumba zilivyo na nyingi ziko bush ......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takwimu zinaongea sio maneno.Mwanza ndo mkoa unaongoza kwa majengo yanayojengwa(majengo mpya) na hakuna uchafu wa NHc.Sasa sijui Dodoma pamoja na NHC (vijumba vya msaada)mko nafasi yangapi??.
Dodoma itakufanya upate ugonjwa wa kuhara wewe kima wa uswazi wa buswelu.Ujenzi huu haupo kwenye sensa.

Video zinaongea👇
 

Attachments

  • RC_SENYAMULE:_TBA_IMEENDELEA_KUIPA_HADHI_DODOMA.(360p).mp4
    9.2 MB
Uzuri wa mji ni miundombinu na planning sio wingi wa uswazi kijana
Acha kuongea kama haujui maana ya takwimu.Dodoma na Mwanza ni mkoa gani unaongoza kwa nyumba kuwa na anwani za makazi tena katika asilimia sio wingi wanyumba??Kwa udogo wa Dodoma anwani za makazi nishida je ikifika level za ukubwa wa jiji kama Dar na Mwanza itakuwaje??Na planning hipi ya Dodoma kama anwani za makazi ni shida??Dodoma ni uswazi hayo mengine ni siasa tu.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-11-04-22-39-51.png
    Screenshot_2022-11-04-22-39-51.png
    72 KB · Views: 11
East Africa tunawakilishwa vyema na Dar,Arusha na Dom..

Mwanza ni rubbish
East Africa tunawakilishwa vyema na Dar,Arusha na Dom..

Mwanza ni rubbish
Leta takwimu,Mwanza inapiga nje ndani😂😂😂Mwanza imekatwa kutoa geita na Simuyu mwaka 2013 ila bado kipigo kiko pale pale na Dar washukuru Mwanza kukatwa la sivyo na yenyewe ingekaa.Ukweli ni kwamba Dodoma bado sana itakiwa ikajipime kwa Arusha na Mbeya then ndo ije kwa Mwanza na Dar.
 
Back
Top Bottom