Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Bado Kwa Dar ila sio Kwa hivyo Vijiji vyenu.
Takwimu ndio zinaongea sio empty words 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C9p8IOptK8x/?igsh=OTk1bnNhb2pyZ2w5View attachment 3065050View attachment 3065051
Hii nchi ya hovyo sana Mwanza imetoka kukusanya bilion 260+ na sasa inakusanya 160bilion huoni kuna shida mahali hapa, mapato yanapotea, hata hivyo hatujali, Mwanza inapiga hatua kwa sasa kuliko kipindi ilipokuwa inakusanya sana.