ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ni kichekesho cha karne...natamani urudi uje kucomment uwongo wako tena😀😀Kilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza 😨
Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.
Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.
Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.
Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Ungeiweka clear kabisa kama hapa👇👇Tumechoshwa na hizo ...au Dodoma ndio imeishia hapo wizarani
Msisahau na huku👇
View attachment 3223761
Mimi mwenyeji wa Mwanza lakini nakiri Dodoma kuzuri bwana.
Wanaobisha wao hawatembeagi
Huoni hicho kijani na ziwa pembeniUngeiweka clear kabisa kama hapa👇👇View attachment 3223784
Exactly,Ukweli mchungu huu....wanaleta ushabiki maandaziMimi mwenyeji wa Mwanza lakini nakiri Dodoma kuzuri bwana.
Wanaobisha wao hawatembeagi
Dom haifananishwi na kimji uchwara na Cha kienyeji Cha Mwanza.View attachment 3223837
I second you
Unaumia sana au siyo? Bado Hadi useme Shikamoo Dom 👇👇
Unaumia sana au siyo? Bado Hadi useme Shikamoo Dom 👇👇
View: https://youtu.be/jtDpV2bTh1k?feature=shared