Bushesha jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 675
- 690
Wew umelogwa kichwa chako unafugia nywele tuSawa jiwe alikua muuaji na mtesaji. Ila huyu chui jike ndio haeleweki anatembea na beat gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew umelogwa kichwa chako unafugia nywele tuSawa jiwe alikua muuaji na mtesaji. Ila huyu chui jike ndio haeleweki anatembea na beat gani
Mbolea ipande huko duniani wewe usingizie kufa kwa Mwendazake!Mkulima huyu anadai ilikuwa ikiongezwa Tsh 1,000 anamwambia Waziri rudisha Tsh 50,000 Waziri wa sasa alikuwepo akiwa naibu.
Siku amekufa kesho yake kabla hajazikwa ikaongezwa Tsh 20,000 ikawa Tsh 70,000. Leo ni Tsh 147,000 na naibu kawa Waziri.
Wadai mnaofatilia bei ya pembejeo tupeni ukweli wa hili. Wengine tuko kwenye mafuta.
Yaani kuungana na chama Cha gear angani.Utavuna mabua uliza UKAWA watakupa uzoefuHivi timu Mwendazake wakiungana na Chadema hawa Boys II si wepesi kabisa. Tatizo ushamba tu.
Watasingizia vita ya ukraine kwa kupandisha kupita kiasi bila huruma! Ni kweli kuna sababu ya vita lakinin si kwa kiasi hicho!Mbolea ipande huko duniani wewe usingizie kufa kwa Mwendazake!
Chuki zako kwa serikali ya awamu ya sita zitakuua bure!
MH Zelensky yapo madai kwamba hiyo vita mnayoiendesha hapo na huyo jamaa yako Putin ndo inasababisha mpera mpera huu huku kwetu dunia ya tatu!!!Hakuna jinsi, hata ifike 200k kwa mfuko mtanunua tu mpaka hapo akili zitakapo wakaa sawa.
Mwezi March,2021 hakukuwa na vita ya Urusi na na Ukraine kwanini ilipanda ghafla hivyo?Wewe huoni vita vya Urusi na Ukraine??
Mwambieni huyo mkulima kwa sasa tunapigana vita kwanza, tukimaliza hizo vita tutalunguza na hizo mbolea, kwa sasa alime tuu bila mbolea
Wenye umoja mnatabu😜JIWE alikuwa muuaji na mtesaji wa watu wote waliokuwa wanaibia Serikali na kuharibu uchumi wa nchi na wa mtu mmoja mmoja. Aliyeko madarakani anakumbatia kundi dogo linaloibia Serikali na kutesa walio wengi. UKWELI NDIO HUO
Acha kufuga kuku mkuu. UtanishukuruChakula cha kuku kimepanda kutoka kwenye 50,000 hadi now 76000
Kwani rusia imezuiwa kuleta mbolea afrika au nasi ni umoja wa ulaya?Tunajua Russia ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mbolea na kwa mazingira yalivyo wala halina ubishi.
Naomba serikali hebu fanyeni subsidy kwa wakulima wapeni nafuu hatakama mtawachaji baadae hata shilling chache kwa kilo kufidia gape, tusaidie sector ya kilimo kama kweli tunataka iajiri na iwavutie vijana kuingia kwenye kilimo.
Mange huyuhuyu anayegombania kumpa mkono wa salamu raichi chamia chulutu?Mange alivyowaambia muandamane kudai haki mkamgomea, acheni muisome namba Tu. Mpaka maji tuite Mma
Mbolea ilipanda toka mwaka jana. Tusijifiche kwenye vitaTunajua Russia ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mbolea na kwa mazingira yalivyo wala halina ubishi.
Naomba serikali hebu fanyeni subsidy kwa wakulima wapeni nafuu hatakama mtawachaji baadae hata shilling chache kwa kilo kufidia gape, tusaidie sector ya kilimo kama kweli tunataka iajiri na iwavutie vijana kuingia kwenye kilimo.
Acha ujinga wako, magufuli amemuua na kumtesa naniiii.Sawa jiwe alikua muuaji na mtesaji. Ila huyu chui jike ndio haeleweki anatembea na beat gani
Kipindi kile alikuwa serious, baada ya kuona Watz mbumbumbu akaamua kupotezea. Sasa hv hajali kaamua Bora awapige Watz 1000 zao ajitajirishe Tu.Mange huyuhuyu anayegombania kumpa mkono wa salamu raichi chamia chulutu?