Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
IIIIIIWatajijua wenyew,ninachojua kombe hawabebi
Inategemea.Watu wa Morocco ni waafika kwa sababu wako Africa. Pia ni Waarabu kwa kabila na lugha. Ndani ya Wamorroco kun makabila pia ambayo huongea lugha tofauti na ile lugha ya taifa ambayo ni Kiarabu.Mkuu Morocco ipo kaskazini mwa bara la Africa na si magharibi.
Na kuhusu kukataa kuwa sio nchi ya Africa na maoni yao, jeografia inaonyesha na wote duniani wanatambua kuwa ni nchi ya Africa.
Nafikiri umasikini, njaa, ujinga, siasa mbovu na upuuz mwngine wa nchi nying za Africa ndio sababu kuu ya wao kuukataa Uafrica. Na ukitazana wengi wana asili ya Kiarabu.
Note: Hakuna anaependa kuwa na ndugu mwenye sifa tajwa hapo juu.
🤣🤣🤣Ni waarabu waacheni. Waarab wanawatambua kuwa ni ndugu zao mimi ni nani nipingane nao.
La msingi hapa tengeneza timu zetu kombe lijalo zikapambane kuliko kuendelea kulazimisha undugu na mtoto wa mjomba aliyefanikiwa