Tetesi: Je, ni kweli kuwa siku hizi ukifanya miamala mikubwa benki unafuatiliwa hata akaunti kushikiliwa?

Tetesi: Je, ni kweli kuwa siku hizi ukifanya miamala mikubwa benki unafuatiliwa hata akaunti kushikiliwa?

acheni kudanganya umma. hakuna wa kukuuliza , nimeuza toyota harrier new model this january jamaa kaingia CRBD internet banking kahamisha mzigo wa kutosha kwa accnt yangu (more than 19M) , hakuna wa kuniuliza wala jamaa hajaulizwahadi leo. ...hzo mambo za kuulizana pesa umetolea wapi ni kama unafanya transaction counter ama vp ?

All is Well

Watu kutokufuata taratibu haimaanishi sharia au kitu hakipo.
Elewa basi unapoambiwa Anti Money Laundering mkuu? Ukienda kutuma pesa nje au kufanya TISS local, unapojaza zile form lazima uwe na document za kuonyesha unafanya malipo ya kitu gani.

Hali kadhalika ukiwa umetumiwa pesa ndefu kutoka nje, hasa kwa SWIFT, mpunga hautawekwa kwenye akaunt yako hadi wajiridhishe kwamba hizo pesa ni za kitu gani? Na huo utaratibu ni sharia ya BoT, kama kuna benki hawafanyi hivyo, ni kupuuzia tu lakini mambo yanatakiwa yaende namna hiyo.
 
acheni kudanganya umma. hakuna wa kukuuliza , nimeuza toyota harrier new model this january jamaa kaingia CRBD internet banking kahamisha mzigo wa kutosha kwa accnt yangu (more than 19M) , hakuna wa kuniuliza wala jamaa hajaulizwahadi leo. ...hzo mambo za kuulizana pesa umetolea wapi ni kama unafanya transaction counter ama vp ?

All is Well
Unaropokwa tu mjomba!

Haya tumeona uwepo wako!
 
Unaropokwa tu mjomba!

Haya tumeona uwepo wako!
wewe ndo unaropokwa mkuu. hizo mambo za kuulizana sijui zinatoka wap . kwa mfano mtu akatumia Simbanking kuhamisha pesa kutoka accnt yake kwenda accnt nyingine ni mpaka awe na documents zipi kwa mfano

All is Well
 
wewe ndo unaropokwa mkuu. hizo mambo za kuulizana sijui zinatoka wap . kwa mfano mtu akatumia Simbanking kuhamisha pesa kutoka accnt yake kwenda accnt nyingine ni mpaka awe na documents zipi kwa mfano

All is Well

Hivi kiwango cha mwisho kuhamisha pesa toka sim banking ni sh. Ngapi kwa siku mkuu?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naomba ufafanuzi kwa wajuvi tafadhali;
Nasikia tetesi kwamba ukiwa na pesa ndefu kwenye Akaunti au Akaunti ikitumiwa (ikiingiziwa)au kupokea pesa ndefu mathalani kuanzia 15milion nakuendelea unafuatiliwa kujieleza na TRA?

Nasikia hususani aliyetuma akiwa mfanya biashara mkubwa pesa hiyo inashikiliwa kwa kosa la utakatishaji fedha!?
Naomba mwenye taarifa zaidi anifahamishe kabla sijaingiziwa pesa ya nyumba yangu niliyoiuza!!

Nitafurahi zaidi kama nitapewa na mwongozo unaotakiwa kuzingatiwa kisheria kabla ya kuingiziwa pesa ndefu hususani hizi pesa za malipo au hata zile za Kubet!
Hiyo hela ikiingia TRA wanawewe. Lazima ulipe chao
 
Huo utaratibu upo tokea zamani. Ulianzishwa kudhibiti utakatishaji wa pesa haramu (Anti Money Laundering). Ukipokea pesa kuanzia hata 5 M kama sio kawaida yako, utatakiwa utoe maelezo ya kuridhisha hizo pesa ni kwa ajili ya kitu gani. Utoe vilelezo umezipataje. Hilo ni takwa la BoT.

Sasa kwa mfano akaunti yangu wamezoea kuona mshahara unaingia mara moja, natoa ATM mara mbili tu unakata, ghafla inawekwa Milioni 10, lazima wahoji. Hapo TRA hata hawahusiki.

Sure


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hiyo system ya kufuatiliwa sana imeanza sasahivi japo zamani ilikuwepo ila sio sana.

Sahizi watakaokuwa wanaweka Pesa ni wale wa mishahara na vilaki laki ndio watabaki kutumia bank ila wafanyabiashara wa mamilioni itakuwa ni "hand to hand'
AMlA imechambua yote haya
 
Hiyo hela ikiingia TRA wanawewe. Lazima ulipe chao
TUKIUZIANA NYUMBA ,GARI AU MASHAMBA TRA wanafuatilia hiyo miamala ili kulipa VAT ya 18% au mie ndo sielewi?
 
hahahaha hela zako lakini unatakiwa utolee maelezo umezipataje wakati ukiwa huna huulizwi kwann huna hela, nchi ikiongozwa na majuha tabu sana
 
hahahaha hela zako lakini unatakiwa utolee maelezo umezipataje wakati ukiwa huna huulizwi kwann huna hela, nchi ikiongozwa na majuha tabu sana
ukiwa huna kitu ni sawa na mkimbizi
 
Back
Top Bottom