Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

Nadhani ndio maana mjani unatumiwa kama ibada kwa baadhi ya imani,

Ile kitu hata bila ya kujiuliza inafanya wewe ujijue ni nani.
Yes kwa namna moja au nyingine Ile kitu Ina faida zake nyingi tu mwilini, sema ndio hivyo propaganda ndio zimetawala
 
Binafsi napenda hawa watu wa dini na vitabu vya injili na vingne wabaki na ujinga wao tu.

Kwa sababu ata ukiwaambia ukwel upo ndani yao hawata kuelewa kamwe .
Wanakuona we hufai kumbe ambao hawafai ni wale wanaowalisha matango pori huko wanakokutania
 
Uko sahihi kabisa mkuu
 
Karibu sana mkuu, nimefurahi kupata uzoefu kutoka kwako
 
Mkuu, dini sio lolote kwenye haya maisha.
 
Honestly, nimeusoma uzi mara moja, na kuuelewa vema kabisa. Nipe changamoto na experience ya maisha yako kabla ya kufahamu maarifa haya, na baada ya kuyaelewa

(Ukipata muda mtafute Dr. Bruce Lipton vitabu vyake vya kufaaa sana)
Mi nimejifunza maarifa haya mapema kidogo sababu mshua alikuwa anamfatilia Munga tehenan. Bruce Lipton namfahamu vyema na namfuatilia sana you tube, yule Mzee anajitambua na anajitahidi sana kufundisha watu waamke
 
Mkuu apa duniani mwanadamu hawezi kuwa huru kamwe! Kuna kosa kubwa sanaa tumefanya wanadamu wote tunaozaliwaa kwenye hii dunia. Ndio maana tupo hapa kuadhibiwa, ukifuatilia vitabu utaona kuna kosa mwanadamu alifanya.

Kuna vifungo viwili vikuu kifungo cha mwili na kifungo cha akili. Mfano wa vifungo vya mwili n kama ukomo wa kuishi, bahari, msitu mnene, jangwa, anga, bonde. Mfano vifungo vya akili kila wazo kufungamana na mda huwezi ukawaza kitu kisicho na mda na nafasi.
 
Mkuu unaposema mwanadamu hawezi kuwa huru ni uhuru gani unaoumaanisha🤔🤔
 
Mkuu unaposema mwanadamu hawezi kuwa huru ni uhuru gani unaoumaanisha🤔🤔
Kuishi kwa amani ya kweli, kipindi chochote tulivu utakachopataa kina mwisho, mda wowote kipindi hicho cha heri kimaisha. ni jambo la mda tuu. Ndio maana huwezi kuwa na furaha siku nzima.
 
Kuishi kwa amani ya kweli, kipindi chochote tulivu utakachopataa kina mwisho, mda wowote kipindi hicho cha heri kimaisha. ni jambo la mda tuu. Ndio maana huwezi kuwa na furaha siku nzima.
 
Kuishi kwa amani ya kweli, kipindi chochote tulivu utakachopataa kina mwisho, mda wowote kipindi hicho cha heri kimaisha. ni jambo la mda tuu. Ndio maana huwezi kuwa na furaha siku nzima.
Unaweza kuwa na furaha sio tu siku nzima Bali siku zote.
Hata hivyo katika maisha hakuna kitu permanent hata haya maisha yenyewe ni temporary mkuu
 
Huu ujumbe nilikua sijaupata lkn kadri nilivyozidu kusoma ndivyo nilianza kuelewa hongera na asante kwa ujumbe mzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…