Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

I have never been in the box my dear,the thing that you do no t know about me I know most of the things that you know and I know a lot of things that have been hidden from you because of the choice you made not to believe in the living God.
that's you, not him/her....
 
Tuu watu wawili tofauti. Wewe umebase fact zako kwenye dini na sayansi. Nazungumzia ulimwengu wa Roho. In other words you are talking about Forms while I am talking about Forms
Ni kweli. Hakuna sababu ya kujadiliana.
Hayo maarifa ya ulimwengu wa Roho unayosema, hayasemwi mahali pengine isipokuwa Dini.
 
Rudia tena na tena kwa utulivu sana mpaka uelewe
Honestly, nimeusoma uzi mara moja, na kuuelewa vema kabisa. Nipe changamoto na experience ya maisha yako kabla ya kufahamu maarifa haya, na baada ya kuyaelewa

(Ukipata muda mtafute Dr. Bruce Lipton vitabu vyake vya kufaaa sana)
 
Hakuna popobawa wala nini,
Ugumu tu wa maisha ndio unawafanya watu wanahisi vitu visivyokuwepo kuna ambao wamemuona mpaka Nyerere kwenye miti
Ila nahisi utakuw na ufahamu sana kuhusu power na nguvu ya KINYWA, EMOTIONS, will.

Wafahamu pia, hali inawezwa tengenezwa just kwa kuruhusu masafa flani kwa watu. Huwepo wa warukao usiku, astral projections na mengine, je unaamini huwepo wa roho zingine tofauti na binadamu¿??
 
Na kuna ambao wanawaamini wasoma vitabu vya majini wanajifanya ni witchcraft intelligent humu JF kumbe fix
Ukimsoma mtoa mada kaongea hoja nzito ,lakini kubwa zaidi ni majibu yapo ndani yako.

Ukisema naye akujibu huo ni uongo au huo ni kweli, itakuwa na tofauti gani na wanao kuaminisha vitu?? Ishu amini unayo yafahamu, kama hauja fahamu, tafuta ufaahamu,, kwa njia gani tafit, soma,, shuhudia, hisi n. K


Ukitaka zaid ya kusaidiwa, tafuta msaada. Ila majibu mengi tunayo ndani, elekeza energy zako, muda wako utayapta majib mengi.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kitu kikubwa ni kujitambua, kujua wewe ni nani? Na ukishatambua kweli basi hutohitaji kutumia nguvu nyingi katika maswala yako, kwasababu tayari utakuwa unaijua kweli,
Ungetoa fafanuzi kidgo. Watu wakapata mwanga, mimi nii nani?
Mimi ni jina nililopewa?? Mim ninahusisha kabila, dini, vinasaba? Mimi ni hisia nilizo nazo, mawazo niliyo nayo??

Vipi kuhusu msemo usemao aonavyo mtu nafsin mwake ndivyo alivyo.

Safari ya kujitambua inaanzia wapi? Whats initial point?
 
Ukweli umejificha , maana maisha ni mchezo, wanaojua kucheza ndio wanaofurahia maisha. Jicho la tatu husaidia kujua ulimwengu uliojificha. Hakika wajanja watatumaliza tusiojua
 
Ukweli umejificha , maana maisha ni mchezo, wanaojua kucheza ndio wanaofurahia maisha. Jicho la tatu husaidia kujua ulimwengu uliojificha. Hakika wajanja watatumaliza tusiojua
mkuu naomba unisaidie nami kufungua jicho la tatu.
 
Mkuu, kuna dawa ukipaka usoni na kunuia kama utakavyoelekezwa na sangoma, jicho la tatu litafunguka na utaona ulimwengu ulivyo. Kumbuka vitu unavyoviona kwa hayo macho mawili sivyo vilivyo.
 
Tatizo la jukwaa hili upagani na uchawi mwingi mno! Uzi wako unatufundisha kumkataa Mungu, eti kwamba sisi wanadamu ndo kila kitu hakuna nguvu yoyote ina tu control!?

Nataka kukuambia, You are completely wrong! Kwanza ujue, nafsi ulionayo ama roho imetoka kwa Mungu, na chochote unachofanya liwe Jema au Baya utalitambua na utachukua uamuzi.

Ukitaka kujua upo free ama controlled chagua kufanya baya, wakati huo nafsi ikikushuhudia kwamba utendalo ni baya., hii ipo Automatic.

Nataka kusema, utakuwa huru tu pale utakapotenda lililo jema, na utakuwa mtumwa pale utakapotenda baya. Hii hutokana na roho ama pumzi ya Mungu tulio nayo sisi wanadamu.
 
Bado nipo sana.
Huo sio wosia Bali kila mtu anapaswa kujua kweli, bahati mbaya ni kwamba elimu hii Afrika haijulikani tofauti na nchi za wenzetu
Unafikiri kuna ulimwengu wa kiroho..?
 
Sioni mahali ambapo mtoa mada amemkataa Mungu.
Wewe unatumia kipimo kipi kujua baya na Jema?
Tatizo la jukwaa hili upagani na uchawi mwingi mno! Uzi wako unatufundisha kumkataa Mungu, eti kwamba sisi wanadamu ndo kila kitu hakuna nguvu yoyote ina tu control!?
Nataka kukuambia, You are completely wrong! Kwanza ujue, nafsi ulionayo ama roho imetoka kwa Mungu, na chochote unachofanya liwe Jema au Baya utalitambua na utachukua uamuzi.
Ukitaka kujua upo free ama controlled chagua kufanya baya, wakati huo nafsi ikikushuhudia kwamba utendalo ni baya., hii ipo Automatic.
Nataka kusema, utakuwa huru tu pale utakapotenda lililo jema, na utakuwa mtumwa pale utakapotenda baya. Hii hutokana na roho ama pumzi ya Mungu tulio nayo sisi wanadamu.
 
mistar hiyo inaonyesha nini hutokea baada ya mtu kufa...nafikiri umenipata!
Kuhusu hiki ulichokiandika hapa kutoka kitabu cha Mhubiri, maana yake ni kwamba, Watu hawajui wapi wanaelekea - hawajui nini hufuata baada ya kufa. Huu ndiyo hasa ukweli na maana ya hicho ulichokiandika hapo.
Kwa ujumla kitabu cha Mhubiri kinahusu "Nini thamani ya Maisha?" Kitabu hiki ni mtazamo wa kiulimwengu. Tafiti na fikara za mwandishi wa kitabu cha Mhubiri ni, hasa za ulimwengu.
 
Tatizo la jukwaa hili upagani na uchawi mwingi mno! Uzi wako unatufundisha kumkataa Mungu, eti kwamba sisi wanadamu ndo kila kitu hakuna nguvu yoyote ina tu control!?

Nataka kukuambia, You are completely wrong! Kwanza ujue, nafsi ulionayo ama roho imetoka kwa Mungu, na chochote unachofanya liwe Jema au Baya utalitambua na utachukua uamuzi.

Ukitaka kujua upo free ama controlled chagua kufanya baya, wakati huo nafsi ikikushuhudia kwamba utendalo ni baya., hii ipo Automatic.

Nataka kusema, utakuwa huru tu pale utakapotenda lililo jema, na utakuwa mtumwa pale utakapotenda baya. Hii hutokana na roho ama pumzi ya Mungu tulio nayo sisi wanadamu.
Mbona kama una hasira mkuu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila unapokuwa umekaa peke yake anza kujiuliza hili swali, mimi ni nani??? Rudia rudia kila mara utakapoata muda,
Hii haina uhusiano na yale uliyoambiwa na jamii, jina, kabila, dini, nk hayahusikii,
Anza zoezi hilo mpaka jibu litakapokuja mkuu
Ungetoa fafanuzi kidgo. Watu wakapata mwanga, mimi nii nani?
Mimi ni jina nililopewa?? Mim ninahusisha kabila, dini, vinasaba? Mimi ni hisia nilizo nazo, mawazo niliyo nayo??

Vipi kuhusu msemo usemao aonavyo mtu nafsin mwake ndivyo alivyo.

Safari ya kujitambua inaanzia wapi? Whats initial point?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Honestly, nimeusoma uzi mara moja, na kuuelewa vema kabisa. Nipe changamoto na experience ya maisha yako kabla ya kufahamu maarifa haya, na baada ya kuyaelewa

(Ukipata muda mtafute Dr. Bruce Lipton vitabu vyake vya kufaaa sana)
Sawa sawa mkuu ntamtafuta huyu Author nianze kupitia vitabu vyake ili kujiongezea maarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nahisi utakuw na ufahamu sana kuhusu power na nguvu ya KINYWA, EMOTIONS, will.

Wafahamu pia, hali inawezwa tengenezwa just kwa kuruhusu masafa flani kwa watu. Huwepo wa warukao usiku, astral projections na mengine, je unaamini huwepo wa roho zingine tofauti na binadamu¿??
Mkuu nafahamu uwepo wa nguvu mbali mbali ndani yetu, ila kuhusiana na swala la kuwepo viumbe wengine bado naendelea kujifunza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom