Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

Swali naweza kuishi bila Muda au Nafasi?

Ni KUWA sio KUISHI, pale panapokosekana hizo diementions yaani (time and space) it means utakuwa life without body. But in the body you can experience hiyo state. Ni practise na descipline

Je Mtu anaishi kwa kuijua kweli akifa anaenda wapi?

Ukisha sema anaenda wapi, you are talking about moving to from one space to another kitu ambacho hakipo. Bali ana merge na suprime souls (attaining oneness with God) na kupata furaha ya milele ana choice ya kuzaliwa kwa special missions, tofauti na wengine yeye ana uchaguzi.

Je watu wote waliozaliwa je walisha wahi kuishi?

Ndio. Incarnation ipo mkuu.

Mwisho.

It is for choosen few. Wengi watasikia, wachache wataamini, katika walioamini, wachache zaidi watafanya uamuzi kuifuata hiyo kweli, na hata walioamuawa kuifuata hiyo kweli itajitokeza kwa wachache sana sana. It is only by grace of God that you can came across relation of Truth. Haita tokea, Dunia na Maumbile yote ni ya Mungu, Note:Creation is the game whereby God play by himself.

Sisi tulianza safari mwaka 1980 tulikuwa group la Disciples 40, todate only 3 tumefika salama, wengine bado hawaja ng'amua bado wanalumbana kwenye ulimwengu wa mawazo, wengine waliacha, wengine waliachana na miili yao hope wameshazaliwa kumalizia ngwe yao. Kumbuka lazima uwe at right place and right time with good people. Apart from few guidance from watu waliokutangulia safari ya kipekee.
In short kuwa kwenye nafsi ya kweli ni kuwa kwenye moment where there is no time or space (to be in moment state).

Nawezaje kuishi bila ya muda au nafasi?
Je mtu anaiyeishi kwakuijua kweli akifa anaenda wapi?
Watu wote wanaozaliwa je washawahi kuishi kabla?
Kama ndio je wote tukifa huku tukiijua kweli hakutazaliwa tena watu wengine?
Ahsante.
 
Swali naweza kuishi bila Muda au Nafasi?

Ni KUWA sio KUISHI, pale panapokosekana hizo diementions yaani (time and space) it means utakuwa life without body. But in the body you can experience hiyo state. Ni practise na descipline

Je Mtu anaishi kwa kuijua kweli akifa anaenda wapi?

Ukisha sema anaenda wapi, you are talking about moving to from one space to another kitu ambacho hakipo. Bali ana merge na suprime souls (attaining oneness with God) na kupata furaha ya milele ana choice ya kuzaliwa kwa special missions, tofauti na wengine yeye ana uchaguzi.

Je watu wote waliozaliwa je walisha wahi kuishi?

Ndio. Incarnation ipo mkuu.

Mwisho.

It is for choosen few. Wengi watasikia, wachache wataamini, katika walioamini, wachache zaidi watafanya uamuzi kuifuata hiyo kweli, na hata walioamuawa kuifuata hiyo kweli itajitokeza kwa wachache sana sana. It is only by grace of God that you can came across relation of Truth. Haita tokea, Dunia na Maumbile yote ni ya Mungu, Note:Creation is the game whereby God play by himself.

Sisi tulianza safari mwaka 1980 tulikuwa group la Disciples 40, todate only 3 tumefika salama, wengine bado hawaja ng'amua bado wanalumbana kwenye ulimwengu wa mawazo, wengine waliacha, wengine waliachana na miili yao hope wameshazaliwa kumalizia ngwe yao. Kumbuka lazima uwe at right place and right time with good people. Apart from few guidance from watu waliokutangulia safari ya kipekee.
Asante kaka naona unapofunguka na maswali yanaongezeka usinichoke.
Nitarudi.
 
tunatafuta mwili mwinine na kuzaliwa tena, tunakuwa watumwa wa mzunguko wa kuzaliwa na kifo.
Nime - highlight maneno hayo hapo juu kukwambia kwamba, kuelewa hivi: "...Tunatafuta mwili Mwingine na kuzaliwa tena, tunakuwa watumwa wa mzunguko wa kuzaliwa na kifo", sio sahihi.
Kujua hili kwamba sio uelewa sahihi ona, mtu anapozaliwa (mtoto) anapewa jina na anabatizwa. Kwanini na maana yake ni nini?
 
Tafuta Kweli ungali hai, usidanganywe na eti kunakufufuliwa.
Maelezo yako ya mwanzo yameeleza vizuri kwa vipengee fulani fulani.
Kwa vipengee hivi ulivyoeleza ndiyo sayansi imeweza kuthibitisha kuwa ni kweli.
Lakini, bado pia, hata vile vipengee vinavyothibitika kisayansi umevipotosha katika maelezo yako.
Ukweli unaokataa Ufufuko huo sio ukweli.
 
Swali naweza kuishi bila Muda au Nafasi?
Ni KUWA sio KUISHI, pale panapokosekana hizo diementions yaani (time and space) it means utakuwa life without body. But in the body you can experience hiyo state. Ni practise na descipline
Je Mtu anaishi kwa kuijua kweli akifa anaenda wapi?
Ukisha sema anaenda wapi, you are talking about moving to from one space to another kitu ambacho hakipo. Bali ana merge na suprime souls (attaining oneness with God) na kupata furaha ya milele ana choice ya kuzaliwa kwa special missions, tofauti na wengine yeye ana uchaguzi.
Je watu wote waliozaliwa je walisha wahi kuishi?
Ndio. Incarnation ipo mkuu.
Mwisho.
It is for choosen few. Wengi watasikia, wachache wataamini, katika walioamini, wachache zaidi watafanya uamuzi kuifuata hiyo kweli, na hata walioamuawa kuifuata hiyo kweli itajitokeza kwa wachache sana sana. It is only by grace of God that you can came across relation of Truth. Haita tokea, Dunia na Maumbile yote ni ya Mungu, Note:Creation is the game whereby God play by himself.
Sisi tulianza safari mwaka 1980 tulikuwa group la Disciples 40, todate only 3 tumefika salama, wengine bado hawaja ng'amua bado wanalumbana kwenye ulimwengu wa mawazo, wengine waliacha, wengine waliachana na miili yao hope wameshazaliwa kumalizia ngwe yao. Kumbuka lazima uwe at right place and right time with good people. Apart from few guidance from watu waliokutangulia safari ya kipekee.
nia na sababu Za kukutafuta ninazo mkuu... Upo dar au mkoani Ndugu?
 
Nime - highlight maneno hayo hapo juu kukwambia kwamba, kuelewa hivi: "...Tunatafuta mwili Mwingine na kuzaliwa tena, tunakuwa watumwa wa mzunguko wa kuzaliwa na kifo", sio sahihi.
Kujua hili kwamba sio uelewa sahihi ona, mtu anapozaliwa (mtoto) anapewa jina na anabatizwa. Kwanini na maana yake ni nini?
Kwani watu wote hubatizwa au kwa wakristo tu?
 
Kwani watu wote hubatizwa au kwa wakristo tu?
Kubatizwa maana yake ni kuingizwa katika ukristo. Unapobatizwa kwa jina la fulani. Huyo fulani ndiyo anatawala maisha yako - anakusimamia.
Hivi ndivyo ilivyokuwa pia dini ya asili. Unapopewa jina na wazazi wako maana na lengo ni hilo hilo.
 
Hii sio sayansi. I do not need proof from any body. Ukweli ni mmoja tuu.
Maelezo yako ya mwanzo yameeleza vizuri kwa vipengee fulani fulani.
Kwa vipengee hivi ulivyoeleza ndiyo sayansi imeweza kuthibitisha kuwa ni kweli.
Lakini, bado pia, hata vile vipengee vinavyothibitika kisayansi umevipotosha katika maelezo yako.
Ukweli unaokataa Ufufuko huo sio ukweli.
 
Maelezo yako ya mwanzo yameeleza vizuri kwa vipengee fulani fulani.
Kwa vipengee hivi ulivyoeleza ndiyo sayansi imeweza kuthibitisha kuwa ni kweli.
Lakini, bado pia, hata vile vipengee vinavyothibitika kisayansi umevipotosha katika maelezo yako.
Ukweli unaokataa Ufufuko huo sio ukweli.
Hebu rudi kwenye maada. We are talking something beyond dini au Sayansi uijuayo, usilazimishe kuchangia kama sio level yako.
 
Kubatizwa maana yake ni kuingizwa katika ukristo. Unapobatizwa kwa jina la fulani. Huyo fulani ndiyo anatawala maisha yako - anakusimamia.
Hivi ndivyo ilivyokuwa pia dini ya asili. Unapopewa jina na wazazi wako maana na lengo ni hilo hilo.
Maana hiyo umeitoa wapi.
 
We are talking something beyond dini au Sayansi uijuayo, u
Umeandika makosa matupu! It is like you don't know which is which.
Dini na sayansi ipi ambayo unadai ni beyond niijuayo? Maelezo niliyoya -select hapo awali ni kadiri ya dini, na yanathibitika ki- science. Na katika maelezo hayo kuna baadhi ya vipengee nilivyovi-select vipomepotosha!
 
Mtego uliopo, ni kwa namna gani wewe mwanadamu utajua nguvu ulizonazo within? Kuna siku niliamua kukemea pepo, aisee lilihamanika sana...sikuwa na uzoefu kabla na mimi si mwana dini hapana, ila it worked out. Tangu nikiwa mtoto sijawahi kuota ndoto mbaya na nikashidwa, kama ni mchawi namfumua hatari..kama ni simba namtoa mbio balaa, kama ni nyoka basi hafui dafu nk.
Ni kwelli sisi wanadamu kila mmoja ana nguvu alizopewa, how to know? how tu utilize it hapo ndipo changamoto ilipo...YES.
Sasa si kila changamoto inayokupata ukimbilie kwa mganga ama kanisani kuombewa no, mtoa hoja upo sahihi jaribu nguzu zako within zinaweza kukutoa hapo ulipo kwenda unapotaka kuwa.
Ulimwengu huu umeumbwa kwa sheria, hapa huyo mchawi ama mganga, ama mtu wa dini anatumia sheria hizo.
😂😂😂😂 Ulimtoa simba nduki, huyo simba ulikutana naye wapi
 
Umeandika makosa matupu! It is like you don't know which is which.
Dini na sayansi ipi ambayo unadai ni beyond niijuayo? Maelezo niliyoya -select hapo awali ni kadiri ya dini, na yanathibitika ki- science. Na katika maelezo hayo kuna baadhi ya vipengee nilivyovi-select vipomepotosha!
Sina haja yakuendelea kujadili kitu na wewe. Tuu watu wawili tofauti. Wewe umebase fact zako kwenye dini na sayansi. Nazungumzia ulimwengu wa Roho. In other words you are talking about Forms while I am talking about Forms lessness.
 
Back
Top Bottom