Wale nyumbu wanaohama kwa msimu kutoka serengeti to masai mara huwa wanafuata huduma ya madume, wakishatosheka wanarudi nyumbani na mzigo tumboni.
Pia Tembo hutoka mbuga ya Taveta Kenya kutafuta wachumba wanaopatikana KINAPA mlimani Kilimanjaro, wakikamilisha kazi yao hurudi nyumbani kukusanya "bando" kwa ajili ya mwaka unaofuata.
Watu waliopo Rombo wanajua athari ya Tembo hao vizuri maana mazao hushambuliwa na pengine wananchi huuawa.