Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Ndugu kwanini unajaa upepo sana ktk kujibu comment ya mtu? Mtu mwenyewe hata humjui. Hivi kulikuwa kuna haja ya kuandika neno m@√i? Punguza hasira ndugu!Hizi ni hisia zako wewe mwenyewe na unaonyesha kiasi cha ujinga uliokujaa kichwani.....ndege hazina insurance hayo mengine ni upumbavu wako hayaongelewi humu......jibu hoja acha kujipaka mavi.
Aiseee mkuu nimekuchunguza kwa karibu sina shaka wewe ni Freemason
Utakuwa Msukuma tu wewe ama wa kutoka ukanda huoMwisho wa siku mkipelekwa mahakaman mtasema mnaonewa kumbe kukosa maarifa
Sasa ulihitaji yuwe tunaattach upumbavu mnaoongea mkiongozwa na mwenyekiti wenu? Ni watu wa kurukia kila jambo hili mnaliongea kuwa ndio la msingi kesho mnapiga sarakasi kuwa si la msingi kuna uhayawani kama huu mlionao?Hizi ni hisia zako wewe mwenyewe na unaonyesha kiasi cha ujinga uliokujaa kichwani.....ndege hazina insurance hayo mengine ni upumbavu wako hayaongelewi humu......jibu hoja acha kujipaka mavi.
Mtoa kaona Twitter tu hajui chochote kile kuhusu maswala ya usafir wa anga
Tunachoomba tuletee ushahid wote na hzo documnt zilizo kuwa cancelled na lini zilikuwa cancelled na sababu zipi zilifanya kuwa cancelled?
Intelligent people are full of dou..... While stupid people are full of confidence.
Usilete hoja kwa mahaba leta hoja kama great thinker tumia ubongo wako kuwa fikirish kabla hujaleta post ukiwa na key evidence zote.sio watuhumiwa waje akane ndio upate cha kuongea.
Huo utabir wenu wa ramli hauwez fanikiwa labda labda kwa mjinga asiejua investigation inakuwaje na conclusion ya investigation inakuwaje
kuna mambo mengine lazima utoe proof ya tuhuma kwanza kabla muhusika aje kujibu tuhuma.kwani wakuu mtu aki kutuhumu kuwa unajinsia mbili,akwambie kama unabisha ntakuumbua.Je utavua nguo kumprove wrong?kama unanituhumu,leta ushahidi ili nipinge ushahidi wako,sio nipinge maneno bila ushahidi.Tukubali kuwa vitu vingine lazima viende ki taalamu.Huwez kuwa unajibu kila neno mtu asemalo bila kuleta ushahidi.
Leta habar ikiwa imekamilika sio kupiga ramliwapwa wapo wengi humu ndani.....yule mpwa wa ITIGI (DED-ITIGI)naye juzi alikuwa analalamika kesi ya mauaji dhidi yake imechelewa kutolewa maamuzi......hiki ni kizazi cha panya kila kitu mbio mbio tu....ATCL waje wapinge kidogo.....ili ukweli uanikwe hadharani:/WAPWA hizi ndege sio za mjomba wenu JIWE ni mali halali ya watanzania acheni ubishi wa kishamba