Tetesi: Je, ni kweli kwamba ndege ya ATCL, Boeing 787-8 Dreamliner haina Insurance?

Tetesi: Je, ni kweli kwamba ndege ya ATCL, Boeing 787-8 Dreamliner haina Insurance?

Status
Not open for further replies.
Tanzania’s leader, the “Bulldozer”, runs off course
IMG_20190316_083324.jpeg
 
Mkuu unaandika very professional, naona mtiririko mtupu wa Logic! ATCL Waje watoe ufafanuzi, hakuna ugomvi! Ndege ni zetu na Roho ni zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Watoe ufanunuzi kwa twitter ya mtu anayeogopa hata kuweka jina lake na ikakopiwa na mtu mwingine ambaye naye anatumia jina la bandia na hawana ushahidi? Hili jambo la kusema ''bisha nikuumbue'' ni mikwala mbuzi ya kizamani sana! Mtu kama una issue ya ukweli unaiweka ili watu waone! Potela pote usiweke jina lako lakini weka ushahidi wa unachoongelea. ATC nitawatetea kwa hili na nawaomba sana wasijibu ujinga kama huu. Watakuwa wana argue na fools.....
 
Kama huna Insurance huwezi kurusha Ndege zako especially Kimataifa

Juzi Kati ATC imerusha Ndege kwenda Zimbabwe Na imepita Anga mbalimbali bila ya Vikwazo
Hii habari Ni ya UOngo

Unachokisema ni kweli lakini nchi hii chochote kinawezekana. Haujasikia mtu kabambikiwa kesi ya mauaji hadi mkuu ameingilia kati haki kupatikana?

Mtoa taarifa amesisitiza ana uhakika na anachokisema, ameomba shirika la ndege lijitokeze kukanusha. Tusubirie
 
I'm speaking from experience sio nadharia

Unaponunua Ndege huuziwi Kama unanunua Kandambili mwa mangi

Kuna Masharti kadhaa Na mojawapo ni kuhakikisha lazima uwe Na Insurance
Na kwa level ya Insurance company zetu hazina uwezo wa kukata Insuarance wao mpka kwa Moja kwa Kuwa mitaji yao ni Midogo hivyo lazima ukikata Insurance kwao Na wao wanakatia Insurance kimataifa


Kama ATC hawana Insurance ya Kimataifa wasingejaribu Kuwa Na Safari Za Kimataifa kwa kipindi hiki

Umesoma vizuri kilichoandikwa na kukielewa lakini?
 
kuna mambo mengine lazima utoe proof ya tuhuma kwanza kabla muhusika aje kujibu tuhuma.kwani wakuu mtu aki kutuhumu kuwa unajinsia mbili,akwambie kama unabisha ntakuumbua.Je utavua nguo kumprove wrong?kama unanituhumu,leta ushahidi ili nipinge ushahidi wako,sio nipinge maneno bila ushahidi.Tukubali kuwa vitu vingine lazima viende ki taalamu.Huwez kuwa unajibu kila neno mtu asemalo bila kuleta ushahidi.
 
Unachokisema ni kweli lakini nchi hii chochote kinawezekana. Haujasikia mtu kabambikiwa kesi ya mauaji hadi mkuu ameingilia kati haki kupatikana?

Mtoa taarifa amesisitiza ana uhakika na anachokisema, ameomba shirika la ndege lijitokeze kukanusha. Tusubirie
Angekuwa na uhakika angeweka ushahidi wa anachosema. Hili la kusema bisha nikuumbue ni la kizamani sana sana. Mimi naangalia mambo kwa mapana. Nasema hivi kwa sababu ATC ''wasipobisha'' kama mtuhumu anavyosema ina maana HATAWEKA ushahidi wowote. Na kama hataweka ushahidi wowote basi amefunika uzembe amabo ulitakiwa uanikwe!
 
Hii Habari nimekutana nayo Twitter, na mtoa Mada amesema Kama anaongopa basi ATC wakanushe! Chanzo ni kutolipwa pesa yao jamaa wakaamua ku-cancell. Tukiacha mihemko, hili linawezekana kurusha ndege bila Insurance?

Ufafanuzi

Kwa mujibu wa mleta Mada wa Twitter ni kwamba, ATC wameshindwa au hawajalipia cover notes na hivyo kuwa cancelled! Sio kwamba hawajawahi kuwa na insurance.
Siasa tuweke mbali kwanza

View attachment 1046629
View attachment 1046628

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka ushahidi bro.... punguza blah blah...kama unasema hao kampuni bima wame cancel bima ya ndege lazima kuna barua ya kusitisha.....ibandike hapa siku nyingine usilete porojo humu...
 
Huu ni mjadala wa hoja

Jibu hoja nitoe hoja sio kusema ninam cover Nani?

Vijana jifunzeni kujenga hoja sio kutafuta Visingizo
Tunahitaji ushahidi wa hizo allegations
ATC imeenda Harare Na kurudi salama Na Ikapewa ruhusu ya kutua Viwanja vyote bya Ndege ilivyo taka kutua, yote hayo yangewezekana bila ya Kuwa Na Insurance?
time. walienda lini na bima imefutwa lini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mambo mengine lazima utoe proof ya tuhuma kwanza kabla muhusika aje kujibu tuhuma.kwani wakuu mtu aki kutuhumu kuwa unajinsia mbili,akwambie kama unabisha ntakuumbua.Je utavua nguo kumprove wrong?kama unanituhumu,leta ushahidi ili nipinge ushahidi wako,sio nipinge maneno bila ushahidi.Tukubali kuwa vitu vingine lazima viende ki taalamu.Huwez kuwa unajibu kila neno mtu asemalo bila kuleta ushahidi.

Ushahidi kwamba ziletwe cover zilizo expire au kitu gani kiletwe? Tuhuma nzito kama hii ni zaidi ya expansion joint iliyopelekea kijana wa watu kwenda ndani kwa muda.

Binafsi imegoma kuingia akilini kwa jinsi nnavyoelewa taratibu zinavyoenda, lakini nikitafakari kuanzia mchakato wa manunuzi na umabavu ulivyogubika hizi ndege ukiongezea na uzembe wa viongozi wetu, sishangai kabisa kuwa hawaja renew cover.

Tuhuma zimejitosheleza kila kitu. Shirika ndio wanatakiwa kukanusha. Usishangae wapo kwenye mchakato wa kulipa ndio wajitokeze kwenye vyombo vya habari.
 
Kama huna Insurance huwezi kurusha Ndege zako especially Kimataifa

Juzi Kati ATC imerusha Ndege kwenda Zimbabwe Na imepita Anga mbalimbali bila ya Vikwazo
Hii habari Ni ya UOngo
Sawa, imeendelea na safari za njia hiyo? Mpaka sasa imekwenda mara ngapi?
 
Huu ni mjadala wa hoja

Jibu hoja nitoe hoja sio kusema ninam cover Nani?

Vijana jifunzeni kujenga hoja sio kutafuta Visingizo
Tunahitaji ushahidi wa hizo allegations
ATC imeenda Harare Na kurudi salama Na Ikapewa ruhusu ya kutua Viwanja vyote bya Ndege ilivyo taka kutua, yote hayo yangewezekana bila ya Kuwa Na Insurance?
Ushaambiwa mbishe alete ushaidi ,kabisheni kwamba mna insurance basi

Kelele nyingi za nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa na uhakika angeweka ushahidi wa anachosema. Hili la kusema bisha nikuumbue ni la kizamani sana sana. Mimi naangalia mambo kwa mapana. Nasema hivi kwa sababu ATC ''wasipobisha'' kama mtuhumu anavyosema ina maana HATAWEKA ushahidi wowote. Na kama hataweka ushahidi wowote basi amefunika uzembe amabo ulitakiwa uanikwe!

Vema kama unaangalia mambo kwa mapana. Lakini unaelewa madhara ya hizi tuhuma kibiashara? Nnavyoelewa jamaa wanavyofanya kazi sasa hivi, huyu mleta habari angekua polisi muda huu.

Nimeona kuna watu wanasema isingeweza kwenda safari za kimataifa kama haina insurance, habari inasema kulikua na cover ambayo baada ya muda kwisha haikulipiwa na ilishakua cancelled. Sasa huenda ndege ziliruka wakati cover iko valid.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom