Tetesi: Je, ni kweli kwamba ndege ya ATCL, Boeing 787-8 Dreamliner haina Insurance?

Tetesi: Je, ni kweli kwamba ndege ya ATCL, Boeing 787-8 Dreamliner haina Insurance?

Status
Not open for further replies.
I'm speaking from experience sio nadharia

Unaponunua Ndege huuziwi Kama unanunua Kandambili mwa mangi

Kuna Masharti kadhaa Na mojawapo ni kuhakikisha lazima uwe Na Insurance
Na kwa level ya Insurance company zetu hazina uwezo wa kukata Insuarance wao mpka kwa Moja kwa Kuwa mitaji yao ni Midogo hivyo lazima ukikata Insurance kwao Na wao wanakatia Insurance kimataifa


Kama ATC hawana Insurance ya Kimataifa wasijaribu Kuwa Na Safari Za Kimataifa kwa kipindi hiki

Anaekuuzia ndege hahusiki na insurance cover. Kwa mfano DRC ndege zao nyingi ni za Kirusi, hazina international insurance na airwoth clearance. Lakini japo mashirika yao haya-operate nje ya DRC bado internally yana operate.
 
Eti speaking from experience...!

Sema speaking on purpose of covering your boss' ass.

Huu ni mjadala wa hoja

Jibu hoja nitoe hoja sio kusema ninam cover Nani?

Vijana jifunzeni kujenga hoja sio kutafuta Visingizo
Tunahitaji ushahidi wa hizo allegations
ATC imeenda Harare Na kurudi salama Na Ikapewa ruhusu ya kutua Viwanja vyote bya Ndege ilivyo taka kutua, yote hayo yangewezekana bila ya Kuwa Na Insurance?
 
Anaekuuzia ndege hahusiki na insurance cover. Kwa mfano DRC ndege zao nyingi ni za Kirusi, hazina international insurance na airwoth clearance. Lakini japo mashirika yao haya-operate nje ya DRC bado internally yana operate.
Hahusiki Na Insurance cover lakin hilo ni sharti

Lakin Pia kutoa mfano wa Congo sio
Mfano Mzuri
Anaekuuzia ndege hahusiki na insurance cover. Kwa mfano DRC ndege zao nyingi ni za Kirusi, hazina international insurance na airwoth clearance. Lakini japo mashirika yao haya-operate nje ya DRC bado internally yana operate.

ATC sasa imefika mpaka Lusaka Na Zimbabwe na karibia itaanza kwenda Bombay!

Yangewezekana hayo Kama hawana Insurance ?, wangepewa Kibali Cha ku landa Kwenye Viwanja bya Ndege vya Nje Kama hawana Bima?
 
Hahahaah
Umuombe Mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
@pohamba Hebu soma hiiiiiiooooo hapo
Screenshot_2019-03-16-07-53-44.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo uongo usio kuwa na kichwa wala miguu hizi ndege kila siku zinatungiwa mistari ya mipasho zimevumilia sana kwa sababu ni za kizungu zingekuwa za Kiafrika zinge vimba na kupasuka
 
I'm speaking from experience sio nadharia

Unaponunua Ndege huuziwi Kama unanunua Kandambili mwa mangi

Kuna Masharti kadhaa Na mojawapo ni kuhakikisha lazima uwe Na Insurance
Na kwa level ya Insurance company zetu hazina uwezo wa kukata Insuarance wao mpka kwa Moja kwa Kuwa mitaji yao ni Midogo hivyo lazima ukikata Insurance kwao Na wao wanakatia Insurance kimataifa


Kama ATC hawana Insurance ya Kimataifa wasingejaribu Kuwa Na Safari Za Kimataifa kwa kipindi hiki
Mkuu, Insurance imekua cancelled baada ya kushindwa kulipa sio kwamba wamenunua bila Insurance, usipindishe hoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Insurance imekua cancelled baada ya kushindwa kulipa sio kwamba wamenunua bila Insurance, usipindishe hoja!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna ushahidi umeletwa ku cancel hiyo insurance?

Yaani Mtu anaibuka anasema Insurance imekuwa Cancelled Halafu tunataka ATC wakanushe badala ya kuwataka walioleta hizo tuhuma walete ushahdi kwanza?
 
Hahusiki Na Insurance cover lakin hilo ni sharti

Lakin Pia kutoa mfano wa Congo sio
Mfano Mzuri


ATC sasa imefika mpaka Lusaka Na Zimbabwe na karibia itaanza kwenda Bombay!

Yangewezekana hayo Kama hawana Insurance ?, wangepewa Kibali Cha ku landa Kwenye Viwanja bya Ndege vya Nje Kama hawana Bima?

Nimekupa mfano kulingana na uzushi wako kuwa bila bima ndege haiwezi kuruhusiwa kuruka. Ndege za hapa ndani nyingi tu hazina international insurance cover - na haziruki nje ya nchi. Unahitaji international insurance cover kama una-operate internationally.

Umeambiwa cover imekuwa cancelled wewe unatoa mifano ya flights zilizopita; kwani hoja iliyopo ni kuwa ATCL haijawahi kuwa na international insurance cover huko nyuma? Kuna mtu aliesema ATCL haiwezi kukata bima na tatizo lililopo leo likarekebishwa?
 
Nimekupa mfano kulingana na uzushi wako kuwa bila bima ndege haiwezi kuruhusiwa kuruka. Ndege za hapa ndani nyingi tu hazina international insurance cover - na haziruki now ya nchi. Unahitaji international insurance cover kama una-operate internationally.

Umeambiwa cover imekuwa cancelled wewe unatoa mifano ya flights zilizopita; kwani hoja iliyopo ni kuwa ATCL haijawahi kuwa na international insurance cover huko nyuma? Kuna mtu aliesema ATCL haiwezi kukata bima na tatizo lililopo leo likarekebishwa?
Wewe base ya kuamini Kuwa zimekuwa cancelled Ni upi?
Ushahidi gani umeletwa mpaka nami niamini?
 
Mkuu, ubishi wa nini? Tusubiri ATC wakanushe, kwani hii ni Mara ya kwanza kwa watu kutoa taarifa bila kuweka source ya taarifa zao? Tunacheza na Roho za Watu, ATC Waje watoe ufafanuzi tu. Ubishi wa nini?
Kuna ushahidi umeletwa ku cancel hiyo insurance?

Yaani Mtu anaibuka anasema Insurance imekuwa Cancelled Halafu tunataka ATC wakanushe badala ya kuwataka walioleta hizo tuhuma walete ushahdi kwanza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeifafanua vyema Sana! Jamaa alikua anataka kutu-mislead kwa Makusudi tu
Nimekupa mfano kulingana na uzushi wako kuwa bila bima ndege haiwezi kuruhusiwa kuruka. Ndege za hapa ndani nyingi tu hazina international insurance cover - na haziruki now ya nchi. Unahitaji international insurance cover kama una-operate internationally.

Umeambiwa cover imekuwa cancelled wewe unatoa mifano ya flights zilizopita; kwani hoja iliyopo ni kuwa ATCL haijawahi kuwa na international insurance cover huko nyuma? Kuna mtu aliesema ATCL haiwezi kukata bima na tatizo lililopo leo likarekebishwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, ubishi wa nini? Tusubiri ATC wakanushe, kwani hii ni Mara ya kwanza kwa watu kutoa taarifa bila kuweka source ya taarifa zao? Tunacheza na Roho za Watu, ATC Waje watoe ufafanuzi tu. Ubishi wa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wakitoa ufafanuzi bila ya ushahidi Na wao utaamini?

Wakisema 'Si kweli' utakubali utetezi wao Au utalazimisha waweke ushahdi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom