Je, ni kweli kwamba vyakula vya mbegu vya GMO viko kwa ajili ya kuua kizazi cha watu weusi?

Huyo msomi wa nelson mandela hapo arusha kuna vitu amekupotosha

Na hakuna tafiti alifanya zaidi ya kusoma mitandaoni...

Kwa kukusaidia, fika halmashauri moja ktk mkoa wa mwanza inayo lima pamba kwa wingi...

Waulize watakusaidia kukujibu maswali yako kuliko huyo msomi aliye kuaminisha

Nakusaidia kwa hawa ambao walifika site na kushuhudia vinavyo endelea na tafiti zinazo fanyika na zilozo fanyika
 
Za chini kabisa ya kapeti ni kwamba hata sisi binadamu ni GMO! Unaambiwa mwanzo tulikua masokwe tu porini, wajanja wakaja wakatu injinia na kutubadilisha ndio tukawa hivi. Yaani unavyoona parachichi halina mbegu na sisi ndio ivyo ivyo tulifanyiwa tukapoteza manyoya, mikia nk. Ndio maana kila siku mnajiuliza kwanini masokwe ya sasa hayabadiliki yawe watu jibu ndio hilo apo.
Changanya na zako.
 
Kwa nini masikini wanapanda daladala wanajazana wakati matajiri wanatembea katika magari yao binafsi ?
 
Dunia inaongozwa na uwongo, ukweli unafichwa sana na hautakiwi kujulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…