Je, ni kweli Matola haelewani na kocha mzungu?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Ni nani alimleta mzungu? Mbona anaonekana hana uwezo?
Je, wachezaji si watawagawa iwapo hawaelewani?
Je, uongozi wa Simba mbona mpo kimya?

Hii tabia ya kuleta watu bila kujua tamaduni zao, hamuoni itaigharimu Simba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio haki , s
Hakuna Cha mgomo Wala nini.,issue ni kuwa vyombo vya dola vinafuatilia kwa karibu tuhuma za rushwa mpirani...marefa Sasa wana hofu...wanachezesha kwa haki...tumeona leo...
Sio haki ,Simba wameonewa leo lile lilikuwa goli sahihi kabisa ( fraga)
 
Ni nani alimleta mzungu?Mbona anaonekana hana uwezo?
Je wachezaji si watawagawa iwapo hawaelewani?
Je uongozi wa Simba mbona mpo kimya?

Hii tabia ya kuleta watu bila kujua tamaduni zao,hamuoni itaigharimu Simba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mgogoro mkubwa tu hata leo baada ya game matola ameonekana na patrick rweyemamu ambaye ni manager akitoka vyumbani huku anarusha rusha mikono.matola ni mtu wa majungu majungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wameonewa ni sawa tu....maana upendeleo ulizidi mno kwa Simba...karibu michezo Tisa Simba amependelewa...
Sasa haki iko wapi ? Huwezi kusema haki wakati mtu kaonewa , mechi ya SSC na yanga refa alifanya makosa kwa timu zote , aliibeba SSC kwa kuipa penalty , na aliibeba yanga kwa kutomtoa yondani kwa kadi nyekundu
 
Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya tano kwa kupambana na rushwa michezoni. Hizi timu za simba na yanga ni timu dhaifu mno bila kubebwa na refa. Halafu uwezo wa hizi timu ni mdogo mno ndio maana wakienda nje huko ambapo refa hapokei rushwa wanakula 5.
Serikali indelee kukaza hihivi angalau simba au yanga ale 5 kiwanja cha mkoani. Na wachezaji wa mkoani waonekane.


Na hiki ni kishindo cha awamu ya Tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…