Je, ni kweli Matola haelewani na kocha mzungu?

Kishindo Cha awamu ya tano kikiletwa kwako na TBC.
 
Hivi Simba tatizo ni ?

1.Matola kutokuelewana na Sven

2.Sven mbinu hana

3.Matola na Sven uwezo mdg au

Kingine mlimuondoa PA ,mkasahau kocha Wa viungo na kocha Wa makipa , ilitakiwa unafagia benchi zima , kocha mkuu ndio achague safu yake ,Ili wakiondoka waondoke wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…