Elections 2015 Je ni kweli mgombea Urais CCM 2015 alikuwa Amina Ally ila kwa kutamka Lowassa atakuwa Makamu wake akagauza upepo?

Elections 2015 Je ni kweli mgombea Urais CCM 2015 alikuwa Amina Ally ila kwa kutamka Lowassa atakuwa Makamu wake akagauza upepo?

Nchi yetu kutoka kwenye umasikini bado tuna kazi kubwa sana yaani, nadhani ccm ifike hatua sasa iache dharau, ifikirie zaidi future ya nchi kuliko kuendekeza uchama, sasa mtu hajawahi kufanya jambo lolote remarkable eti awe rais, awe kiongozi, huaga mnategemea nini? Kwamba tu, Yes tumefanya uchaguzi wa rais? Kama ni kweli Mkapa alimpendekeza Magufuli kua rais and wale waliomtaka Lowassa kua mgombea na akakatwa then (kwa mtazamo wangu ) hao ndio walikua wazalendo halisi wa nchi hi, both Magufuli na Lowassa kuna vitu wamewahi kuvifanya na vikaoneka wakiwa mawaziri; huyu Amina kawahi kufanya nini? Rose Migiro or Bernard Membe same, nini wamewahi kufanya ambacho kimeweka historia kwa Tanzania? Binafsi sina kumbukumbu. Nadhani tumchague mtu kwasababu ya SIFA, kwamba huyu anaweza kututoa hapa na kutufikisha pale, sio kwasababu ni mzuri wa sura au mpole au mkali or hana makundi; havitusaidii hivo, ndio sasa unakua na rais ambaye hata yeye hajui kwanini Tanzania ni masikini.
Urais wa nchi hii ni kukomoana
 
Nipo hapa Dodoma mzee mmoja wa Makamo ndani ya chama kateta nami jambo hili.

Mzee anadai Balozi Amina Ally aliteleza wakati wa kuomba kura huku akijua wazi jina la Lowassa limekatwa na kudai atamteua kuwa mgombea mwenza.


Kauli yake hiyo kilimkera mwenye Chama chake kipindi hicho na bahati ikahamia kwa Magufuli.
Naye alisimuliwa stori za vijiweni kama wewe tuu hana lolote.
 
Back
Top Bottom