Je ni kweli miwa inayooteshwa pembeni ya bafu ina madhara yoyote?

Je ni kweli miwa inayooteshwa pembeni ya bafu ina madhara yoyote?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji meengi sana na mitamu sio mchezo.

Nikaenda msalani nikaona miwa imepandwa pembeni ya bomba la maji taka yanayotokea bafuni, na katengeneza kamfereji flani ili maji yasiende, pia hata mtu akikojoa bafuni akiflash maji yanaenda kwenye miwa.

Vipi wajuzi tumekula uchafu au tulipata nutrient salama?
 
Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji meengi sana na mitamu sio mchezo.

Nikaenda msalani nikaona miwa imepandwa pembeni ya bomba la maji taka yanayotokea bafuni, na katengeneza kamfereji flani ili maji yasiende, pia hata mtu akikojoa bafuni akiflash maji yanaenda kwenye miwa.

Vipi wajuzi tumekula uchafu au tulipata nutrient salama?
Kwa namna yeyote ile haishauriwi kutumia vyakula au mbogamboga zinazonyeshewa kwa kutumia maji ya chooni.

Hii ni kwa sababu, mikojo ina vijidudu hatari visababishavyo magonjwa. Sasa kutumia miwa ambayo imetumia maji ya mkojo na kinyesi kunaleta uwezekano mkubwa sana wa kuvamiwa na vijidudu hivyo.

Lakini pia, bafuni au chooni kunatumika kemikali nyinginezo kutoka kwenye sabuni na dawa za kusafisha vyoo. Maana yake ni kuwa, kemikali hizo huenda kutuama kwenye miwa au mbogamboga hizo. Na unapochukua hatua ya kwenda kutumia, basi unahatarisha afya yako.

Si miwa tu na mbogamboga, hata samaki wanaovuliwa katika mabwawa ya maji machafu nayo hayafai kuliwa. Epuka sana kula samaki aina ya kambale ambao hujui mazingira ya uvuaji wake.

Chukua tahadari. Afya ni mtaji namba 1.
 
Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji meengi sana na mitamu sio mchezo.

Nikaenda msalani nikaona miwa imepandwa pembeni ya bomba la maji taka yanayotokea bafuni, na katengeneza kamfereji flani ili maji yasiende, pia hata mtu akikojoa bafuni akiflash maji yanaenda kwenye miwa.

Vipi wajuzi tumekula uchafu au tulipata nutrient salama?
ushafuatilia chakula cha samaki
ushafuatilia misosi ya nguruwe
 
Kwa namna yeyote ile haishauriwi kutumia vyakula au mbogamboga zinazonyeshewa kwa kutumia maji ya chooni.

Hii ni kwa sababu, mikojo ina vijidudu hatari visababishavyo magonjwa. Sasa kutumia miwa ambayo imetumia maji ya mkojo na kinyesi kunaleta uwezekano mkubwa sana wa kuvamiwa na vijidudu hivyo.

Lakini pia, bafuni au chooni kunatumika kemikali nyinginezo kutoka kwenye sabuni na dawa za kusafisha vyoo. Maana yake ni kuwa, kemikali hizo huenda kutuama kwenye miwa au mbogamboga hizo. Na unapochukua hatua ya kwenda kutumia, basi unahatarisha afya yako.

Si miwa tu na mbogamboga, hata samaki wanaovuliwa katika mabwawa ya maji machafu nayo hayafai kuliwa. Epuka sana kula samaki aina ya kambale ambao hujui mazingira ya uvuaji wake.

Chukua tahadari. Afya ni mtaji namba 1.
Kweli kabisa umenena
 
Ila Harmonize...

images (1) (1).jpeg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Mimi sioni kama miwa hiyo ni mitamu, huwa naiona ina ladha mbaya, miwa gani hiyo inakuwa na ladha ya sukari iliyochanganyikana na chumvi kidogo? Ule utamu wa muwa halisi unakuwa haupo. Kwanza unajisikia kinyaa sana kula miwa iliyooteshwa eneo hilo
 
Kwa namna yeyote ile haishauriwi kutumia vyakula au mbogamboga zinazonyeshewa kwa kutumia maji ya chooni.

Hii ni kwa sababu, mikojo ina vijidudu hatari visababishavyo magonjwa. Sasa kutumia miwa ambayo imetumia maji ya mkojo na kinyesi kunaleta uwezekano mkubwa sana wa kuvamiwa na vijidudu hivyo.

Lakini pia, bafuni au chooni kunatumika kemikali nyinginezo kutoka kwenye sabuni na dawa za kusafisha vyoo. Maana yake ni kuwa, kemikali hizo huenda kutuama kwenye miwa au mbogamboga hizo. Na unapochukua hatua ya kwenda kutumia, basi unahatarisha afya yako.

Si miwa tu na mbogamboga, hata samaki wanaovuliwa katika mabwawa ya maji machafu nayo hayafai kuliwa. Epuka sana kula samaki aina ya kambale ambao hujui mazingira ya uvuaji wake.

Chukua tahadari. Afya ni mtaji namba 1.
Kaa mbali-Kambale....huyu samaki mtamu sana, mkuu unashauri tusile kambale?...aah
 
Back
Top Bottom