Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Haina shida yoyote..
Maana mechanism ya mmea kuvyonza maji ni very complicated
Maana mechanism ya mmea kuvyonza maji ni very complicated
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani twawonika ndeu imiMadili ndio penyewe sasa, ualike mshiki afo?
Hata kuku ili nyama yake iwe tamu na mayai ya njano anapaswa kukitafutia chakula ndipo anakutana na mkojo, kinyesi kilichokauka anagombana nacho.Miwa inataka maji ili ikue sasa maji yenyewe ya chooni.
😂😂hahaha haya nipe madili hayokwani twawonika ndeu imi
Njoo PM bhana ujue tunachafua uzi😂😂hahaha haya nipe madili hayo
Utajiambukiza Ushoga.Nina miaka kadhaa sijala miwa ngoja nianze na hiyo ya karibu na toilet.
Hiyo ni moja ya methali katika lugha ya Kiswahili. Wahenga walioitunga wanajua haswa nini alacho nyuki zaidi ya chavua/polen (umeiita nta ya maua).Nyuki anakula nta za maua acha uongo
kwa ujumla maandalizi ya vyakula africa ni uchafu mwingi sana.. tunapona kwa neema za Mwenyezi Munguushafuatilia chakula cha samaki
ushafuatilia misosi ya nguruwe