Je ni kweli miwa inayooteshwa pembeni ya bafu ina madhara yoyote?

Je ni kweli miwa inayooteshwa pembeni ya bafu ina madhara yoyote?

Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji meengi sana na mitamu sio mchezo.

Nikaenda msalani nikaona miwa imepandwa pembeni ya bomba la maji taka yanayotokea bafuni, na katengeneza kamfereji flani ili maji yasiende, pia hata mtu akikojoa bafuni akiflash maji yanaenda kwenye miwa.

Vipi wajuzi tumekula uchafu au tulipata nutrient salama?
Mbona unatumia ndomu ambayo hauhoji kama imetengenezwa na nini sembuse miwa?
 
Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji meengi sana na mitamu sio mchezo.

Nikaenda msalani nikaona miwa imepandwa pembeni ya bomba la maji taka yanayotokea bafuni, na katengeneza kamfereji flani ili maji yasiende, pia hata mtu akikojoa bafuni akiflash maji yanaenda kwenye miwa.

Vipi wajuzi tumekula uchafu au tulipata nutrient salama?
ndo ina virutubisho vya kutosha.ushawai kule tembele la nyuma ya choo ni tamu sana tena ndio limekuza vijana shupavu uswahilini
 
Kwa namna yeyote ile haishauriwi kutumia vyakula au mbogamboga zinazonyeshewa kwa kutumia maji ya chooni.

Hii ni kwa sababu, mikojo ina vijidudu hatari visababishavyo magonjwa. Sasa kutumia miwa ambayo imetumia maji ya mkojo na kinyesi kunaleta uwezekano mkubwa sana wa kuvamiwa na vijidudu hivyo.

Lakini pia, bafuni au chooni kunatumika kemikali nyinginezo kutoka kwenye sabuni na dawa za kusafisha vyoo. Maana yake ni kuwa, kemikali hizo huenda kutuama kwenye miwa au mbogamboga hizo. Na unapochukua hatua ya kwenda kutumia, basi unahatarisha afya yako.

Si miwa tu na mbogamboga, hata samaki wanaovuliwa katika mabwawa ya maji machafu nayo hayafai kuliwa. Epuka sana kula samaki aina ya kambale ambao hujui mazingira ya uvuaji wake.

Chukua tahadari. Afya ni mtaji namba 1.
Case Closed...Sio Salama kama hujui unachokifanya
 
Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji meengi sana na mitamu sio mchezo.

Nikaenda msalani nikaona miwa imepandwa pembeni ya bomba la maji taka yanayotokea bafuni, na katengeneza kamfereji flani ili maji yasiende, pia hata mtu akikojoa bafuni akiflash maji yanaenda kwenye miwa.

Vipi wajuzi tumekula uchafu au tulipata nutrient salama?
Miwa ya bafuni au sehemu yenye mbolea nyingi huwa na chumvi na sio mitamu kivile, kuhusu madhara sina hakika labda mtaalamu atujuze
 
Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji meengi sana na mitamu sio mchezo.

Nikaenda msalani nikaona miwa imepandwa pembeni ya bomba la maji taka yanayotokea bafuni, na katengeneza kamfereji flani ili maji yasiende, pia hata mtu akikojoa bafuni akiflash maji yanaenda kwenye miwa.

Vipi wajuzi tumekula uchafu au tulipata nutrient salama?
Wasukuma utawajua tu.
Bafuni siyo mahali pa kukojoa

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Kwa namna yeyote ile haishauriwi kutumia vyakula au mbogamboga zinazonyeshewa kwa kutumia maji ya chooni.

Hii ni kwa sababu, mikojo ina vijidudu hatari visababishavyo magonjwa. Sasa kutumia miwa ambayo imetumia maji ya mkojo na kinyesi kunaleta uwezekano mkubwa sana wa kuvamiwa na vijidudu hivyo.

Lakini pia, bafuni au chooni kunatumika kemikali nyinginezo kutoka kwenye sabuni na dawa za kusafisha vyoo. Maana yake ni kuwa, kemikali hizo huenda kutuama kwenye miwa au mbogamboga hizo. Na unapochukua hatua ya kwenda kutumia, basi unahatarisha afya yako.

Si miwa tu na mbogamboga, hata samaki wanaovuliwa katika mabwawa ya maji machafu nayo hayafai kuliwa. Epuka sana kula samaki aina ya kambale ambao hujui mazingira ya uvuaji wake.

Chukua tahadari. Afya ni mtaji namba 1.
Unajua samaki wanakula nini? Ukiachana na hao kambale.
Kuna mizoga ya wanyama,vinyesi nk.


Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji meengi sana na mitamu sio mchezo.

Nikaenda msalani nikaona miwa imepandwa pembeni ya bomba la maji taka yanayotokea bafuni, na katengeneza kamfereji flani ili maji yasiende, pia hata mtu akikojoa bafuni akiflash maji yanaenda kwenye miwa.

Vipi wajuzi tumekula uchafu au tulipata nutrient salama?
Hakuna madhara, mimea huchukua maji na chumvi chumvi za madini ili kujitengenezea chakula ambacho ndiyo hiyo sukari ya muwa uliokula. Kua na amani. Mwambie anikatie na mimi muwa !! Ulishamuona nyuki akiokoteza viambata vya kutengenezea asali ?!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mimi kwangu Maji ya Bafuni nimeyaelekeza kwenye Migomba na miti Mingineyo kwenye Bustani.. Tunafurahia Ndizi na matunda mbalimbali hata Kiangazi.

Usiogope mizizi Inachuja Uchafu na kutumia maji safi kutengeneza Chakula Chake.. muhimu kusafisha kabala ya kutumia isijekuwa imerukiwa na vijidudu au Wadudu watambaao.
 
Back
Top Bottom