Samehe saba Mara sabani kaka hausahau tuWalimtukana sana Lowasa, laana inaanza kuwatafuna
Hao wawili bila Masanja wasingetoka pia,mkandamizaji kwao alikua km team leader amewasidia na sasa wanaweza kujiongoza wenyewe etcKama ipo bifu chanzo ni masanja huyu jamaa ametoka sana kupitia joti na mpoki....
Unaposema kundi la commedian ni mpoki na joti....
Ila jinsi masanya alivyotokea nakuwapita wenzake even me ningekaa pembeni.
Bila jot na mpoki hakuna comedi.....
Kwahiyo masanja na yeye ajiandae.....
Wewe wa juzi nini? Huwajui Joti&Mpoki .....kila mtu ana mchango wake lakini Joti na Mpoki ndio vichwa kitambo bila kumsahau Seki ambaye ndio kiongozi wa kundi.Hao wawili bila Masanja wasingetoka pia,mkandamizaji kwao alikua km team leader amewasidia na sasa wanaweza kujiongoza wenyewe etc
Pita kule, kwani hujui maana ya kuwa celebrity wewe jike shupa?Jamani hebu msituchoshe na mambo yenu.Kwani kutokuhudhuria kwake kumepunguza nini?Sasa watu wazima tuanze kuchunguza mambo ya watu jamani like serious????
Kiinglish...Low mind discusses people!!
Hahahahahaha kwa jibu hili asipojuta bas ana matatizo ya akiliWeka mbali siasa, kama unampenda sana huyo Lowasa umpe mkeo .
Yesu wangu!![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Weka mbali siasa, kama unampenda sana huyo Lowasa umpe mkeo .
IMEANDIKWA USILITAJE BURE JINA LA BWANA MUNGU WAKO.Yesu wangu!![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Haha kweli masanja katembelea nyota alaf katusuaaKama ipo bifu chanzo ni masanja huyu jamaa ametoka sana kupitia joti na mpoki....
Unaposema kundi la commedian ni mpoki na joti....
Ila jinsi masanya alivyotokea nakuwapita wenzake even me ningekaa pembeni.
Bila jot na mpoki hakuna comedi.....
Kwahiyo masanja na yeye ajiandae.....
Ameeen mtumishi wa bwana[emoji120] [emoji120]IMEANDIKWA USILITAJE BURE JINA LA BWANA MUNGU WAKO.
Pia nishawaona mpoki na masanja airport dar mwez uliopitaSidhani kama wanamtafaruku maana mwezi uliopita niliwaona mpoki na joti airport mwanz walikua wako pamoja wakisubiria ndegw y kwend dar
Maish yamebadilika mtoa mada,kufatanafatana kama kuku sasa hvi hakuna
Ukifika kileleni unaweza kushuka kwa kwenda kaburini na pia unaweza ukaondoka mwili ukaacha legacy...Sheria ya asili, "Ukishafika KILELENI, huna pakwenda zaidi, ni kushuka tu!"
kwamba anajilipa zaidi kuliko wenzie?,au mbali na comedy ana kazi binafsi?Kama ipo bifu chanzo ni masanja huyu jamaa ametoka sana kupitia joti na mpoki....
Unaposema kundi la commedian ni mpoki na joti....
Ila jinsi masanya alivyotokea nakuwapita wenzake even me ningekaa pembeni.
Bila jot na mpoki hakuna comedi.....
Kwahiyo masanja na yeye ajiandae.....