Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikuambia kuwa kulikua na ulazima wa kufanya hivyo utachukua hatua gani?Nataka kujua..if kulikuwa na ulazima
OK.Sitachukua hatua yeyote
Sio kweli. Hivyo kaliwa kimasiharaNaomba wajuzi mnieleze ukweli wa hili Jambo. Wife alienda piga , X- ray ya mbavu but akaambiwa avae kanga, but wakati wanapigwa akaambiwa aifungua Ile kanga. Je ni kweli hili Jambo ilipaswa kuwa hivi? Wajuzi tafadhali.
Jibu ni kuwa,, kuna ulazima wa kuvua nguo mkuu ili zile rays ziweze kupita direct bila ya kuwa na interferenceNikipata jibu ntajua hatuna ya kuchukua
hiyo x ray tu unalialia sasa akifika mda wa kupigwa finga kukaguliwa njia si utakufa ww.. nikushauri nunua x-ray machine yako umfanyie ww tuNaomba wajuzi mnieleze ukweli wa hili Jambo. Wife alienda piga , X- ray ya mbavu but akaambiwa avae kanga, but wakati wanapigwa akaambiwa aifungua Ile kanga. Je ni kweli hili Jambo ilipaswa kuwa hivi? Wajuzi tafadhali.
Hakuna ulazima wa kuvua nguo, anaweza akaambiwa ailegeze katika eneo ambapo Xray inapigwa lakini siyo kuvua.Naomba wajuzi mnieleze ukweli wa hili Jambo. Wife alienda piga , X- ray ya mbavu but akaambiwa avae kanga, but wakati wanapigwa akaambiwa aifungua Ile kanga. Je ni kweli hili Jambo ilipaswa kuwa hivi? Wajuzi tafadhali.
Ahahahah daahhiyo x ray tu unalialia sasa akifika mda wa kupigwa finga kukaguliwa njia si utakufa ww.. nikushauri nunua x-ray machine yako umfanyie ww tu