Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mbn mie X rays waliniambia nivue cheniX-rays xinapita Hadi kwenye chuma vipi kanga iwe kikwazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbn mie X rays waliniambia nivue cheniX-rays xinapita Hadi kwenye chuma vipi kanga iwe kikwazo
Mkuu hauna picha wakati umemaliza zoezi la usafi ukijiandaa na operation 😜Niliwahi kufanya operesheni ukiacha kuvua nguo niliambiwa ni sile kitu chochote na ninyoe nywele sehemu za siri ...aaahg hospital ukiwa mgonjwa huna ujanja
Hahahahaha, wewe mkorofi sana ujueMkuu hauna picha wakati umemaliza zoezi la usafi ukijiandaa na operation 😜
Halafu bahati mbaya itokee amempeleka sasa kwenye hospitali ya serikali na kukutana na vile vidaktari vilivyo kwenye mafunzo ya vitendo!! Aisee atajinyonga.hiyo x ray tu unalialia sasa akifika mda wa kupigwa finga kukaguliwa njia si utakufa ww.. nikushauri nunua x-ray machine yako umfanyie ww tu
Nenda kalalamike kwenye uongozi wa hospitali ili wachukue hatua sahihi, kanga ni nguo nyepesi na haina vishikizo wala zipu.Nikipata jibu ntajua hatuna ya kuchukua
Haya sasa vihuni vya JF vimeingia toka mafichoni.Mkuu acha kukomplicate mambo,nilienda na wife hospitali ya wilaya ya liwale alikuwa na tatizo la mimba kuharibika hivyo ilibidi aingiziwe vidole hadi akaja kulalama kwangu,sasa wewe x-ray umehaha,by the way huyo mkeo ulimkuta bikra? Vipi siku ukijua kaliwa si utajinyonga kabisa,acha kuwekeza maisha yako kwa mtu ambaye mumekutana ukubwani,nakwambia siku inakuja hutosadiki kabisa !!