Je, ni kweli Mtu anapaswa kuwa uchi ili apigwe x-ray?

Je, ni kweli Mtu anapaswa kuwa uchi ili apigwe x-ray?

Naomba wajuzi mnieleze ukweli wa hili Jambo. Wife alienda piga , X- ray ya mbavu but akaambiwa avae kanga, but wakati wanapigwa akaambiwa aifungua Ile kanga. Je ni kweli hili Jambo ilipaswa kuwa hivi? Wajuzi tafadhali.
Aaaaah mkuu....tayari ameshapigwa hiyo X-ray mkuu, haibadilishi kitu tena
 
Naomba wajuzi mnieleze ukweli wa hili Jambo. Wife alienda piga , X- ray ya mbavu but akaambiwa avae kanga, but wakati wanapigwa akaambiwa aifungua Ile kanga. Je ni kweli hili Jambo ilipaswa kuwa hivi? Wajuzi tafadhali.
Namwelewa mtoa mada consern yake ni kwamba mionzi ya x-ray haipiti kwenye kanga wakati ni nguo nyepesi?
Binafsi nipo bega kwa bega na mtaalam wa mionzi mpaka hapo alipomwambia avae kanga maana ni nguo nyepesi lakini hilo la kufungua kanga naomba huyo mtaalam aje atuambie kinaga ubaga
 
Hatimae mbuzi kafia Kwa muuza butcher 😂😂😂
X-ray tu unaanza kuwaza

mwenzako mkewng aliniita nikamsalimie doctor aliyemzalisha , nikalazimika kutabasamu 😀😀😀
 
Kanywe k-vant na kitimoto 1kg,,mapilipili mengi ,makachumbari,,Matango ya kucheba bila kusahau mandimu yakutosha Kwa ajili ya mauchachu'uchachu ili upunguze Machungu ya x-ray uchi ya mke wetu.
 
Hapa napofanyiea kazi wanawake huwa kuna nguo maalumu ambazo Huwa wnavalishwa pale wanapo piga x ray.

Sijui kama ni lazima ama sio lazima
 
La haula! Piga magoti chini na ulie kwa uchungu huku ukijipiga piga kifuani.

Hakuna ulazima wa kuvua nguo zote na hicho kitu sijawahi sikia. Sababu kuna nguo huwa wanapewa. Huyo jamaa bila shaka alikuwa na... wazungu wanaita "Ulterior Motives."
 
Inawezekana ikawa hivo
Piainategemea mgonjwa alisema wapi panauma
Ultrasound tunavuta chupi chini kias eneo la juu lionekane japo si sana
X ray ya kifua unavua nguo ya juu uwe wazi ya kifua nje
 
La haula! Piga magoti chini na ulie kwa uchungu huku ukijipiga piga kifuani.

Hakuna ulazima wa kuvua nguo zote na hicho kitu sijawahi sikia. Sababu kuna nguo huwa wanapewa. Huyo jamaa bila shaka alikuwa na... wazungu wanaita "Ulterior Motives"
😂😂😂Wew jamaa
 
Kuna ule ugonjwa ambao mganga mkuu mfawidhi anakutia kidole Cha kati kule mku-nduni kukagua ugonjwa huo. 😃😃😃😃😃😃 Tezi dume na bawasiri

Lazima utiwe kidole hakuna namna 😃😃😃😃😃
 
Niliwahi kufanya operesheni ukiacha kuvua nguo niliambiwa ni sile kitu chochote na ninyoe nywele sehemu za siri ...aaahg hospital ukiwa mgonjwa huna ujanja
 
Back
Top Bottom