Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Mwanamke mwenye kitambi ni shida sana kunako 6X6 maana kifo cha jamaa unaona kama kuna kagunia kamewekwa katika tumbo. Ukute kafungasha, hapo ni lazima utafute ngazi ili kibamia kiweze kuingia. Mwanamke lazima upige vita kitambi CC Jovitha
Oky
 
tatizo wadada wanapenda nyama choma,chipsi yai...bia ..michemsho... sembe maini lost,ubwabwa maharage.....
kwa mazingira haya unakosaje kitambi..??.....omba mungu ujaaliwe TAKO walau litaficha aibu ya kitambi kdg...!!..
 
Wala siyo mm ila mleta mada ni Mimi
Wengi hatujuani hapa JF, lakini the way unavyojitahidi kuficha na kujibu posts mbali mbali juu ya kitambi chako, ndivyo unavyozidi kuuthibitishia ulimwengu kuwa mwenye kitambi ni Jovitha, kubali au kataa.
The bottom line: punguza kufakamia misosi na bia za offer! Fanya mazoezi kwa sana.
 
Habari za mida hii wapedwaaa???

Msaada:::: Nina rafiki yangu ana kitambii si kikubwa sanaa ila kinaonekanaa mfano akivaa blauzi ya kumbanaa..... Mara nyingi huwa analalamika analichukia tumboo lake na amejaribu kufanya mazoezi kashidwaaa...... Na anaogopa kuingia kwenye relationship coz hapo awali aliwahi kutoka na wanaume wawili kwa nyakati tofauti wakawa wanamsema vibaya kuhusu tumbo lake(kitambi)

Kwahiyo anaogopa kuingia tena kwenye mahusiano ......anahisi atatedwaa tena kutokana na tumbo lakeee...

......swali::je nikweli wanaume wengi hawapendi mwanamke awe na kitambii!!!?? Na km umetokea kumpenda msichana alafu ana kitambi nawewe hukipendi utafanyajeee????
USHAURI: Je, kuna njia nyingine anayoweza kuitumia ili kitambi kipungue km si kuisha kabisaaa????
Cjui kwa wengine ila bnafc sion tatzo mana nlienae anacho pia tho cha kawaida!
 
Back
Top Bottom