kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
Vitambi vyote ni kula kula (wanasingizia kuzaa = mbona Zari yupo vizuri pamoja na kuwa na watoto 5?)Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]kama gunia.mazoez muhim sn daily uvivu ndo unawaponza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitambi vyote ni kula kula (wanasingizia kuzaa = mbona Zari yupo vizuri pamoja na kuwa na watoto 5?)Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]kama gunia.mazoez muhim sn daily uvivu ndo unawaponza
Tunakulaga 0654031078Acha njaa hizo mpaka unaexpose mawasiliano yako kizembe namna hii.
Kwanza anakaa wapi?Okay sasa tuna hata nmb
Una uhakika gani sio yake? namba gani za magari zina mpangilio huo? Tumia kichwa kufikiri, sio kufugia nywele.Unauhakika gani ni yake je km niysgarii????
Jiongezeee
Wengi hatujuani hapa JF, lakini the way unavyojitahidi kuficha na kujibu posts mbali mbali juu ya kitambi chako, ndivyo unavyozidi kuuthibitishia ulimwengu kuwa mwenye kitambi ni Jovitha, kubali au kataa.Wala siyo mm ila mleta mada ni Mimi
Cjui kwa wengine ila bnafc sion tatzo mana nlienae anacho pia tho cha kawaida!Habari za mida hii wapedwaaa???
Msaada:::: Nina rafiki yangu ana kitambii si kikubwa sanaa ila kinaonekanaa mfano akivaa blauzi ya kumbanaa..... Mara nyingi huwa analalamika analichukia tumboo lake na amejaribu kufanya mazoezi kashidwaaa...... Na anaogopa kuingia kwenye relationship coz hapo awali aliwahi kutoka na wanaume wawili kwa nyakati tofauti wakawa wanamsema vibaya kuhusu tumbo lake(kitambi)
Kwahiyo anaogopa kuingia tena kwenye mahusiano ......anahisi atatedwaa tena kutokana na tumbo lakeee...
......swali::je nikweli wanaume wengi hawapendi mwanamke awe na kitambii!!!?? Na km umetokea kumpenda msichana alafu ana kitambi nawewe hukipendi utafanyajeee????
USHAURI: Je, kuna njia nyingine anayoweza kuitumia ili kitambi kipungue km si kuisha kabisaaa????