hivi maji yanapunguza tumboeeSi kweli,tumbo linatoka ukiamua,afanye mazoez ya tumbo aache uvivu kabisa.naamin ukifanya mazoez linatoka,pia akiamka asbuh kitu cha kwanza anywe maji ya vuguvugu glass kama mbili.
Apendelee kunywa sana maji kuliko kula.
Happy with my english figure[emoji28][emoji1][emoji106]mm nakunywa mpk three to four litres per day
Hiki nacho tuite kitambi[emoji15] [emoji15] wakati ni kimuinuko cha raha tu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kuna vijitambi fulani hivi vya kishikaji powa tu,
Akuje ghetto, maana gheto yangu ni kama CONSULTATION ROOMIla hatafuti bwana anataka ushauri
[emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji121]Akuje ghetto, maana gheto yangu ni kama CONSULTATION ROOM
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Sio vitambi hivi. Mwili wa kawaida kabisa.Hiki nacho tuite kitambi[emoji15] [emoji15] wakati ni kimuinuko cha raha tu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaaaaa we hatariKabisaa mkuu
Hyo Avatar mkuuNarudia tena, tumia kichwa kufikiri sio kufugia nywele.
Utakuwa mdau wa movie mkuu. Safi sana...ana vitu vyenye akili sana.Hyo Avatar mkuu
Inanikumbusha Transporter
Huchoki kumuangalia nampenda bure sio siroUtakuwa mdau wa movie mkuu. Safi sana...ana vitu vyenye akili sana.
Yaah....yupo vizuri sana. Kati ya few icon wa movie namkubali sana.Huchoki kumuangalia nampenda bure sio siro