mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,570
wapi hukoo[emoji16]?Yah umenikumbusha mbaliii kidogo
Saa kumi na mbili unaamka na likipora la wali na maharage kwann kitambi kisikutoke bado ukifika kwa job isikatize offer mbele yako unayo![emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani ukila hovyo ndiyo unakuwa na kiitambii
Nimemaanisha tumbo lakini ubonge na tumbo tofaut ujue hapoKweli eeenh
Sijui moyo [emoji178] [emoji178]Kinacho kuchanganyaa???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bonge nani sasaNimemaanisha tumbo lakini ubonge na tumbo tofaut ujue hapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] embu niorodheshee kwa Siku nzima mtu anatakiwa ale Milo mingapi na kwa mda ganii.....???Saa kumi na mbili unaamka na likipora la wali na maharage kwann kitambi kisikutoke bado ukifika kwa job isikatize offer mbele yako unayo!
Lovie...Wanaume mkuje, msemee kweli kitambi hamtaki au mbwembwe....
Best, kwangu mie kitambi nakipiga vita kuliko viroba!!!! Kwangu mie sitaki hata kuiona mwaya...
Afanye mazoeziOkay nitajaribu kumshawishiii
Njoo pm fursa za watu hizo na zinalipiwa![emoji23] [emoji23] [emoji23] embu niorodheshee kwa Siku nzima mtu anatakiwa ale Milo mingapi na kwa mda ganii.....???