Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Kitambi kwa mdada kinakera kama ilivyo kwa wanaume kwani mifuta iliyorundikana tumboni huweza kukusababishia presha na pia kutofurahia mgegedo....
Mwanamke asiye na kitambi nampenda sana maana pia hunipa raha wakati wa kumkunja kunako tano kwa sita
 
Mwambie ajiamini na kujipenda mwili wake kama atafanya mazoezi afanye kwa afya ila sio kwa kujistress kwamba ili kitambi kipotee. Asijisumbue kwenye mapenzi kwa maana hata wakaka wenye vitambi wapo
Nikweli wapoo lkn kwa mwanaume kuwa na kitambii huwa inachukuliwa km nikawaidaa ila ke mmmh
 
Jovitha Embu tuache utani..huyo mwanamke ni wewe mwenyewe halafu unatuzuga hapa Hahaha... Kuwa muwazi tu usaidiwe😀😀😀😀😀😀
Waulize wenye picha zanguu km nakitambia au wale walio nigegeda humu Jf km wapooo....je walinikuta na kitambii????

Cc:Michael
 
dah mademu michepuko mna mambo mnatamani mjitengeneze wenyewe.hivi unajua uzuri wa mke sio sura bali ni tabia.wanawake mama zetu ila mna laana ya kumkosoa muumba na hii hamtopona siku ya hesabu.mnapenda kukosoa maaumbile ya wenzenu kuliko kukosoa tabia
Lkn mungu hakuumba mtu akiwa na kitambii
 
Waulize wenye picha zanguu km nakitambia au wale walio nigegeda humu Jf km wapooo....je walinikuta na kitambii????

Cc:Michael
[emoji23] [emoji23] [emoji276] [emoji276] [emoji144] [emoji144] Aisee, ya kweli hayo
 
Mhhh hawakumpenda tu. Mie ninacho na nimeolewa, na mume wangu ananipendaaaaaaaaa, na mtoto nimezaaa, na naongeza mwingine sooon! Na mume wangu hastuki na habari hana. Mwambie kama kitambi hakitoko basi yy akae tu atatokea wa kumpenda tu na atamwoa na kitambi chake. Mwanaume akikupenda haangalii hayo.... Anaengalia hayo ujue wewe sio flavor yake! Mapenzi ni kama kuchagua kinywaji sio wote wanakunywa fanta.... Wengine wanakunywa clubsoda na wanaenjoooooooy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] da aaaa umenifanya nichekeee nanukuu:::"siyo wote wanakunywaa fanta wengine wanakunywa clubsoda na wanaenjoy""" teh teh[emoji23]

.........Asee we noumaaa
 
Habari za mida hii wapedwaaa???

Msaada:::: Nina rafiki yangu ana kitambii si kikubwa sanaa ila kinaonekanaa mfano akivaa blauzi ya kumbanaa..... Mara nyingi huwa analalamika analichukia tumboo lake na amejaribu kufanya mazoezi kashidwaaa...... Na anaogopa kuingia kwenye relationship coz hapo awali aliwahi kutoka na wanaume wawili kwa nyakati tofauti wakawa wanamsema vibaya kuhusu tumbo lake(kitambi)

Kwahiyo anaogopa kuingia tena kwenye mahusiano ......anahisi atatedwaa tena kutokana na tumbo lakeee...

......swali::je nikweli wanaume wengi hawapendi mwanamke awe na kitambii!!!?? Na km umetokea kumpenda msichana alafu ana kitambi nawewe hukipendi utafanyajeee????
USHAURI: Je, kuna njia nyingine anayoweza kuitumia ili kitambi kipungue km si kuisha kabisaaa????
Kwamwanamke,Kitambi hakifai hata kidogo hasa, yule wakumiliki.ila kama mchepuko wa siku 1hapo kanyaga twende.
 
Back
Top Bottom