Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i wish niione hiyo picha yako PM..hahaha😀😀😛😛🙂🙂Ndiyo maana nimeyaandikaa
Kifanyiea Mazoezi yaani ni sawa Wanawake wanavyowachukia wanaume wafupi sijuiHabari za mida hii wapedwaaa???
Msaada:::: Nina rafiki yangu ana kitambii si kikubwa sanaa ila kinaonekanaa mfano akivaa blauzi ya kumbanaa..... Mara nyingi huwa analalamika analichukia tumboo lake na amejaribu kufanya mazoezi kashidwaaa...... Na anaogopa kuingia kwenye relationship coz hapo awali aliwahi kutoka na wanaume wawili kwa nyakati tofauti wakawa wanamsema vibaya kuhusu tumbo lake(kitambi)
Kwahiyo anaogopa kuingia tena kwenye mahusiano ......anahisi atatedwaa tena kutokana na tumbo lakeee...
......swali::je nikweli wanaume wengi hawapendi mwanamke awe na kitambii!!!?? Na km umetokea kumpenda msichana alafu ana kitambi nawewe hukipendi utafanyajeee????
USHAURI: Je, kuna njia nyingine anayoweza kuitumia ili kitambi kipungue km si kuisha kabisaaa????
Nicheki kwa muda wako PM naweza kukusaidia japo A, B, C....Habari za mida hii wapedwaaa???
Msaada:::: Nina rafiki yangu ana kitambii si kikubwa sanaa ila kinaonekanaa mfano akivaa blauzi ya kumbanaa..... Mara nyingi huwa analalamika analichukia tumboo lake na amejaribu kufanya mazoezi kashidwaaa...... Na anaogopa kuingia kwenye relationship coz hapo awali aliwahi kutoka na wanaume wawili kwa nyakati tofauti wakawa wanamsema vibaya kuhusu tumbo lake(kitambi)
Kwahiyo anaogopa kuingia tena kwenye mahusiano ......anahisi atatedwaa tena kutokana na tumbo lakeee...
......swali::je nikweli wanaume wengi hawapendi mwanamke awe na kitambii!!!?? Na km umetokea kumpenda msichana alafu ana kitambi nawewe hukipendi utafanyajeee????
USHAURI: Je, kuna njia nyingine anayoweza kuitumia ili kitambi kipungue km si kuisha kabisaaa????
Pole .(nahisi ni wewe mwenyewe).jaribu kupunguza vya mafuta na sukari kupita kiasi,soda, supu na nyama nyekundu.Pombe hanywagiii
Haaah sana napenda sana nikiwa namgegeda huku nagusagusa zile nyamanyama rahisi raha sanaTehhhh tehhh[emoji4] naona unachangamkia fursaa
Aache chipsi na supu za mara kwa maraPombe hanywagiii
Akinywa maji mengi atakuwa km ray kigosiSi kweli,tumbo linatoka ukiamua,afanye mazoez ya tumbo aache uvivu kabisa.naamin ukifanya mazoez linatoka,pia akiamka asbuh kitu cha kwanza anywe maji ya vuguvugu glass kama mbili.
Apendelee kunywa sana maji kuliko kula.
Happy with my english figure[emoji28][emoji1][emoji106]mm nakunywa mpk three to four litres per day
Implying.. Hata akiwa na kitambi siyo vibaya...implying....???
Nipeni Mimi huyo[emoji4] [emoji4] [emoji4] yani kwa uzuri ni mzuri ....kiuno kinaonekana tumbo... Shingo miguu..... Makalioo yaah sema anakitambiii
Wanaume mkuje, msemee kweli kitambi hamtaki au mbwembwe....
Best, kwangu mie kitambi nakipiga vita kuliko viroba!!!! Kwangu mie sitaki hata kuiona mwaya...