Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani ukila hovyo ndiyo unakuwa na kiitambii
Saa kumi na mbili unaamka na likipora la wali na maharage kwann kitambi kisikutoke bado ukifika kwa job isikatize offer mbele yako unayo!
 
Mwambie ajitahidi kufanya zoezi na kuacha kula kula hovyo bila mpangilia kitapotea
ca6bab9d0a06a66bc223240be8b30407.jpg
 
Saa kumi na mbili unaamka na likipora la wali na maharage kwann kitambi kisikutoke bado ukifika kwa job isikatize offer mbele yako unayo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] embu niorodheshee kwa Siku nzima mtu anatakiwa ale Milo mingapi na kwa mda ganii.....???
 
Wanaume mkuje, msemee kweli kitambi hamtaki au mbwembwe....

Best, kwangu mie kitambi nakipiga vita kuliko viroba!!!! Kwangu mie sitaki hata kuiona mwaya...
Lovie...
Just one word..

Nakupenda sakayo
 
Back
Top Bottom