Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Kitambi kwa mdada kinakera kama ilivyo kwa wanaume kwani mifuta iliyorundikana tumboni huweza kukusababishia presha na pia kutofurahia mgegedo....
Mwanamke asiye na kitambi nampenda sana maana pia hunipa raha wakati wa kumkunja kunako tano kwa sita
 
Mwambie ajiamini na kujipenda mwili wake kama atafanya mazoezi afanye kwa afya ila sio kwa kujistress kwamba ili kitambi kipotee. Asijisumbue kwenye mapenzi kwa maana hata wakaka wenye vitambi wapo
Nikweli wapoo lkn kwa mwanaume kuwa na kitambii huwa inachukuliwa km nikawaidaa ila ke mmmh
 
Jovitha Embu tuache utani..huyo mwanamke ni wewe mwenyewe halafu unatuzuga hapa Hahaha... Kuwa muwazi tu usaidiwe😀😀😀😀😀😀
Waulize wenye picha zanguu km nakitambia au wale walio nigegeda humu Jf km wapooo....je walinikuta na kitambii????

Cc:Michael
 
Lkn mungu hakuumba mtu akiwa na kitambii
 
Waulize wenye picha zanguu km nakitambia au wale walio nigegeda humu Jf km wapooo....je walinikuta na kitambii????

Cc:Michael
[emoji23] [emoji23] [emoji276] [emoji276] [emoji144] [emoji144] Aisee, ya kweli hayo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] da aaaa umenifanya nichekeee nanukuu:::"siyo wote wanakunywaa fanta wengine wanakunywa clubsoda na wanaenjoy""" teh teh[emoji23]

.........Asee we noumaaa
 
Kwamwanamke,Kitambi hakifai hata kidogo hasa, yule wakumiliki.ila kama mchepuko wa siku 1hapo kanyaga twende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…