Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Kuna rafiki yangu tulisoma nae chuo, anasema akiona mdada tumbo lina nyamanyama ndio anavutiwa. .
Beauty lies in the eyes of the beholder
Inawezekanaaa kweliii uzuri machonii pa mtuuu
 
Kifanyiea Mazoezi yaani ni sawa Wanawake wanavyowachukia wanaume wafupi sijui
 
Nicheki kwa muda wako PM naweza kukusaidia japo A, B, C....
 
Akinywa maji mengi atakuwa km ray kigosi
 
Ukweli napenda wanawske wanene ila shida kama ana kitambi ukimlalia ili ule deda mara anasema tumbo linamuuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…