Tatizo lingine sie tunatumia maoni ya mtu mmoja as though ndiye msemaji wa SA yote pamoja na miji yake maarufu ya Begi la Joni & Mji Kofia (Cap-e Town)! Non-sense!Tatizo wanatumia Tukio moja kufanyia utafiti. waje wawakute wenyewe ndio atajua ni wema ama wabaya kuliko wa kwao
Ohoooo ok mkuu,fugitive anaingia mtwara kwa njia za panya, anasafiri hadi Arusha (10km to Kenya border),anakamatwa kwa informations kutoka nje,then kudos kwa TP!ngoja niendelee kupalillia vitindi vyangu vya ulanziKatika kudhibiti uhalifu. Jeshi la Polisi Tanzania limeithibitishia dunia kuwa moja ya Jeshi bora kabisa hadi sasa
Simply, ni sawa na Dkt. Louis Leakey agundue fuzu mashuhuri la mwanadamu (wa kale zaidi?), then Dkt. Mollel Bongo ajitwalie sifa za huyo mkoloni mpelelezi-turned-mwanasayansi.Wanakurupuka, ukisoma kisa mpaka kukamatwa kwa huyo bester, ni hao hao S.A walipenyeza ripoti kuwa yuko TZ wala si jeshi letu lililokuwa na taarifa.
π πHii si kama vile nikienda kwa kina Dula ndonde Mamake anamwambia Dula awe kama mimi
kumbe mimi ndo nmemfundisha kamari dula
Na wanavyopenda kuandamana watachakaa kweli kweli ππππNa Afande Mloto aende, akawape kipigo cha mbwa koko wahalifu wachakae.....
Wewe unaona aje?Moja ya changamoto kubwa sana tuliyokuwa nayo Tanzania, ni kuona kila kitu tulichokuwa nacho hakifai.
Wakati nchini Tanzania hadi tume ya kupitia mfumo wa Haki Jinai ikiwa imeundwa na tayari ipo kazini, raia wa Afrika Kusini wameonyeshwa kuvutiwa sana na utendaji kazi wa Jeshi la Polisi la Tanzania katika kupambana na uhalifu hadi kufanikisha kukamatwa kwa wahalifu waliotikisi taifa lao siku za hivi karibuni.
Katika tweets zao, raia hawa wa Afrika Kusini wamefikia hatua ya kuomba Jeshi letu la Polisi kwenda kufanya kazi ya kuzuia uhalifu nchini mwao!
Sasa nimeamini nabii hatambuliki kwao. Heko kwa Jeshi letu la Polisi, pamoja na changamoto kweli mmetuheshimisha.
View attachment 2586250View attachment 2586251
Wanatembea na bangi na risasi jichanganye kwa Polisi TanzaniaPolice wa Tanzania munaweza kukosana tu wakakutungia kesi ambayo haina dhamana ili utesekee tu mahabusu basi.
nakumbuka kuna kipindi walitaka kuniwekea bhangi mzee ila nilikuwa nimevaa pemsi ambayo haina mfukoWanatembea na bangi na risasi jichanganye kwa Polisi Tanzania
Nawajuanakumbuka kuna kipindi walitaka kuniwekea bhangi mzee ila nilikuwa nimevaa pemsi ambayo haina mfuko
Wewe dada napenda comments zako,I wish nikuone siku moja hahaah.Na Afande Mloto aende, akawape kipigo cha mbwa koko wahalifu wachakae.....