Je ni kweli ndg. Mulugo (n/waziri wa elimu )kasema haya?

Kwa Mulugo lolote lawezekana. Kama katumia majina ya watu wengine, mmojawapo ni Lecturer pale DUCE na kama pia anajua muungano wetu na Zimbabwe imo, washangaa nini kwa hayo mapya? Baraza la Mawaziri ni zaidi ya baraza.
 
Mwacheni mzee wa watu apumue maana mwaka huu !! hatousahau
 
Tehe tehe jamaa kweli wa ajabu sana anapaswa kujiunga ze comedy
 
Waziri wenu ni noma kweli halafu eti wanataka "BIG RESULTS NOW" ... Walimu tunasema "BIG RESULTS NO"
 
Mmmm! nina mashaka na hii taarifa kama ni ya kweli,kama ni kweli itakua katika level za juu sana ya kauli tata za viongozi wa juu hapa Tanzania!
 
Mmmm! nina mashaka na hii taarifa kama ni ya kweli,kama ni kweli itakua katika level za juu sana ya kauli tata za viongozi wa juu hapa Tanzania!

Sasa ile aliyosema kuwa Tanzania ni muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe sio kauli tata? Mbaya zaidi aliizungumza nje ya TZ si bora hii aliyosema hapa kwetu.
 
inamana hakuna wanatukuyu humu, aidha wathibitshe ama wakanushe hili??? Nachelea kukubali hili, nisaidieni kuamini.
 
Siku mkuu anaanza kuteua mawazir alisema "uwazir hausomewi" nikajua lazima vilaza na kaurafiki katahusika,ikawa kweli.mwisho wa siku madudu yanajitokeza.bora msimu huu uishe,uje msimu wa mabadiliko.
 
Kwa Mulugo chochote kinawezekana ila kama ni kweli haya sasa ni majanga
 

Duh, hiyo kali
 
jamaa kabla ya kugombea ubunge alikuwa anapiga temporal ya shule moja ya msingi kule mbeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…