Wa Bagamoyo
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 118
- 12
Wakuu nimeikuta hii katika moja ya mtandao wa kijamii
" MAAJABU MENGINE YA NAIBU WAZIRI WA
ELIMU,MH MULUGO
Akiwa katika ziara ya kutembelea chuo cha ualimu
Tukuyu. Wakufunzi walimuuliza swali kwanini
hawapandishwi madaraja kwa muda mrefu.
Mmoja wa wakufunzi alilalamika toka aajiriwe
yuko daraja D ingawa ana mwaka wa kumi kazini.
Mulugo akajibu kwamba atahakikisha anapanda
daraja mpaka A mwaka huu. Akidhani daraja A ni
kubwa kuliko E wakufunzi wote wakabaki
kumshangaa akiwamo mkuu wa chuo wa pale.
Akiongea na wanafunzi wanafunzi walimuomba
serikali iwaajili hata kama wame fail somo moja
yaani kama wana supplementary moja katika
mtihani wao wa mwisho. Mulugo akajibu kwamba
suppementary ni somo kama masomo mengine hivyo
ni lazima wafaulu supplementary asiyefaulu
atakiona. Yeye akidhani supplementary ni
mojawapo ya somo katika course ya ualimu.
Swali:
Alipewaje wizara nyeti kama hiyo wakati haijui
kabisa?"
" MAAJABU MENGINE YA NAIBU WAZIRI WA
ELIMU,MH MULUGO
Akiwa katika ziara ya kutembelea chuo cha ualimu
Tukuyu. Wakufunzi walimuuliza swali kwanini
hawapandishwi madaraja kwa muda mrefu.
Mmoja wa wakufunzi alilalamika toka aajiriwe
yuko daraja D ingawa ana mwaka wa kumi kazini.
Mulugo akajibu kwamba atahakikisha anapanda
daraja mpaka A mwaka huu. Akidhani daraja A ni
kubwa kuliko E wakufunzi wote wakabaki
kumshangaa akiwamo mkuu wa chuo wa pale.
Akiongea na wanafunzi wanafunzi walimuomba
serikali iwaajili hata kama wame fail somo moja
yaani kama wana supplementary moja katika
mtihani wao wa mwisho. Mulugo akajibu kwamba
suppementary ni somo kama masomo mengine hivyo
ni lazima wafaulu supplementary asiyefaulu
atakiona. Yeye akidhani supplementary ni
mojawapo ya somo katika course ya ualimu.
Swali:
Alipewaje wizara nyeti kama hiyo wakati haijui
kabisa?"