Je, ni kweli Nikk wa II ameachika?

Kumtetea Nikki pia inahitaji moyo sana. Ni mtu wa kujigamba mno. Huwa anataka kuonekana yeye ni msomi kuliko wasanii wote. Kuna siku anahojiwa na Millard akadai yeye hajawahi kufeli wakati form IV alipiga division III huku akiwa na F ya hesabu.
 
Hapa ndipo tunapata nguvu kubwa ya kuwakumbusha vijana na kuwaambieni ukweli kuwa ''KATAA NDOA NI UTAPELI, MWANAMKE HASOMESHWI WALA KUWEKEWA BOND" [emoji23][emoji23][emoji23].

Kataa ndoa za mchongo, kataa kuteseka, kataa utapeli, kataa ujinga, afya yako ya akili ni muhimu kulko mahusiano yasiyoeleweka yahusiana na nn[emoji23].

Mtatuelewa tu, wewe ngojea
 
Kumtetea Nikki pia inahitaji moyo sana. Ni mtu wa kujigamba mno. Huwa anataka kuonekana yeye ni msomi kuliko wasanii wote. Kuna siku anahojiwa na Millard akadai yeye hajawahi kufeli wakati form IV alipiga division III huku akiwa na F ya hesabu.
Hahaha mamasamia usipomkubali mtu lazima umnange...
Anyway watu wanaoana wanaachana
Tukubali tu matokeo

Ova
 
Nikki ni mwanangu sana ila huwa anaboa mno kwenye kudhani yeye ni msomi kuliko wote. Kujikweza ni kitu kibaya mno. Acha tu watu wakusifie.
Teh teh ,ila mambo ya kumpostpost mme/mke mtandaoni sijui tutaishi milele,hkna kama wewe, nikinywa maji kweny glass nakuona blahblah nying
Ni kuchoreshana....kudanganyana tu

Na kama mke ndy mashalah watu lazima wakutingishe

Ova
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…