Si uende Nigeria ukaulize hasa watu wa usalama labda ndo wanajua,sasa sisi huku tutakujibu nini? AiseeJana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao.
kuna habari nyingine nlikutana nazo zimhusuzo muhammadu buhari raisi wa nchi ya naijeria inayoeleza kwamba alishakufa mwaka 2017 nafasi yake kuchukuliwa na buhari feki toka SUDAN
JE KUNA UKWELI JUU YA HILI
WAJUVI WA MAMBO naomba mtujuze hapa
View attachment 1608027View attachment 1608029View attachment 1608030View attachment 1608032View attachment 1608033View attachment 1608034View attachment 1608035View attachment 1608036
Naomba huo uziFacts tupu ..but it can be anything...niliwahi kuripoti kifo cha Buhari nikashukiwa kama mwewe...! Muda utasema...!!!!
Watu mna mambo πKuna uwezekano hata jiwe wetu wa sasa ni feki jiwe original ni yule aliyekuwa nyapara wa barabara enzi ya mkewe.
HawanaGA cha kufanya hawa.Hh
Haaa haaa watu noma sijui huwa wanachimbua wapi haya Mambo π π€£
Mara wanasema hata Kanye West na Eminem nao walishakufa kitambo hao waliopo ni wa bandia
point mkuuUnachohisi ni uhalisia siyo uhalisia,na unachodhani si halisi ndicho hasa halisi.Kuna mambo kwa akili yako ya kawaida unafikiri hayawezekami lkn yanatokea,yanafanyika na yanawezekana ktk dunia hii.
Wew Buhari wa kabla ya 2017 ulishawahi kuwa naye karibu,huyu wa sasaivi pia una ukaribu naye ili uweze kujiridhisha kuwa unawafahamu kwa karibu na hivyo habari ni feki au ni editing.
Kuna mambo ktk dunia hii yanafanyika ktk hali yaekushangaza kabisay.
Kuna mambo yanafanyika kwa akili ya kawaida unatafsiri waliofanya wamekosea au wanefanya kwa makusudi.Lkn kumbe yalipangwa yatokee hivyo kimakosa na yaonekane wamekosea,au makusudi yenyewe ilipangwa kwa makusudi ionekane ni makusudi. Hapo kuna lengo.
hatimaye wakati umenena mkuuFacts tupu ..but it can be anything...niliwahi kuripoti kifo cha Buhari nikashukiwa kama mwewe...! Muda utasema...!!!!
Mtaambiwa hata huyu Tundu Lissu sio Tundu halisi, maccm hayashindwi kuzusha kitu chochoteHuwa siamini hizi story za kutungwa....!
Human by nature are pattern seeking animals. Even in areas where there are no patterns.Unachohisi ni uhalisia siyo uhalisia,na unachodhani si halisi ndicho hasa halisi.Kuna mambo kwa akili yako ya kawaida unafikiri hayawezekami lkn yanatokea,yanafanyika na yanawezekana ktk dunia hii.
Wew Buhari wa kabla ya 2017 ulishawahi kuwa naye karibu,huyu wa sasaivi pia una ukaribu naye ili uweze kujiridhisha kuwa unawafahamu kwa karibu na hivyo habari ni feki au ni editing.
Kuna mambo ktk dunia hii yanafanyika ktk hali yaekushangaza kabisay.
Kuna mambo yanafanyika kwa akili ya kawaida unatafsiri waliofanya wamekosea au wanefanya kwa makusudi.Lkn kumbe yalipangwa yatokee hivyo kimakosa na yaonekane wamekosea,au makusudi yenyewe ilipangwa kwa makusudi ionekane ni makusudi. Hapo kuna lengo.
Nimecheka usiku usiku. JF ni tamu sana.Sasa huyo buhar feki hawez kutoa boko akiabanwa na waandish juu ya masualq flan labda ataje mikoa na mitaa fulan fulan au makabila fulan
πππWasinichanganyie ubongo wangu mimi